Hip hop Facts Thread

kwa ku
[QUOTE"NEW NOEL, post: 15268215, member: 44297"]Kwanini uamini Billboard?
Wewe unaamini hiyo list imekamilika?
Kwanini infuential rapper kama 2PAC hawajamweka?
Kwanza hiyo list inaonekana ipo biased sana.
Nilitegemea mtu kama 2pac awepo,nilitegemea NWA wawepo.
Kwa sababu mimi ninaamini kuwa mc mkali lazima uwe CHANGE AGENT. Sasa kwa mtu kama Kendric Lamar ambaye hana hata miaka 5 kwenye peak ya muziki huu unakuja kusema ni mc mkali?
Sikatai kuwa Kendric ni mkali lakini hiyo ya kusema mcs wakali kuwahi kutokea duniani.


Billboard ni source makini ukitaka kupresent data za music, na hakika wamefanya research kabla ya kuja na hiyo list man.
kwa kutomuweka 2pac bado haijakamilika...
 
Pesa madafu ya Jay Moe inaweza kuibadili trend ya hiphop yetu hapa bongo. Ni wimbo ambao umezua mjadala mrefu kwa wanahip hop haswa kuhusu alichofanya Moe kama ni hiphop au ni ni kitu gani kaleta. Naamini Jay Moe kuleta new sound kwenye muziki wake kutamrudisha vyema kwenye game na kutaset trend mpya maana nimeona wanahiphop wengine nao wako na mpango wa kutrap. Hii inaweza kuondoa kasumba kwamba hiphop ni ile inayopita kwenye mstari wa midundo ya East coast au Westside. Hongera sana Jay moe kwa hii track.

Kitu kama hichi ni FULL of your FAKE PROPAGANDA nyimbo ya pesa madafu haina ART ndani yake. Ni full of samples from the scratch
The kicks,snares zinaigia MAMA I MADE IT ya cassper nyovest na hili ni kutokana na lack of creativity ya Producers na Artist wa kibongo
Jay moe anaiga hadi dancing style ya cassper
So when you say that shit again you better be right
Maana alichokifanya jay moe ni Kupunguza Tempo
 
Kitu kama hichi ni FULL of your FAKE PROPAGANDA nyimbo ya pesa madafu haina ART ndani yake. Ni full of samples from the scratch
The kicks,snares zinaigia MAMA I MADE IT ya cassper nyovest na hili ni kutokana na lack of creativity ya Producers na Artist wa kibongo
Jay moe anaiga hadi dancing style ya cassper
So when you say that shit again you better be right
Maana alichokifanya jay moe ni Kupunguza Tempo
Alichofanya J moe ni trap na trap zinapita kwenye njia inayofanana..Sioni kama amekosea sababu naona marapa wengi wametumia mtindo huo tofauti na tulivyowazoea na wamefanya vema mfano Songa na Zaiid Mnete.
 
8966a3330c512faf402f26cc3a80ab3e.jpg


Tuongelee kidogo album ya sasa ya Jay Z iitwayo 4:44

Ambayo P Diddy anasema ni moja kati ya album bora kwenye hiphop.

P Diddy amesema “4:44 ni zaidi ya album,Ni wajibu wa msanii Kuonyesha umekua,4:44 ina fikra tofauti na mabadiliko ya jinsi tunavyo fikiria,Jay Z anaushawishi mkubwa kwangu na kwa watu wengine,Tumpe Ushirikiano na tushirikiane kunyanyua bidha zetu”

Ukiangalia hii album mashairi yake, topic alizozizungumza, midundo aliyotumia utaona ni kwa namna gani Jigga anastahili heshima na ufalme wa hiphop.

4:44 ni kama falsafa fulani inahitaji uwe na ubongo mzuri kuelewa kilichomo.

My fav kwenye hiyo album ni marcy me na story of OJ.
 


Walk on water kwa mara ya kwanza inawakutanisha Eminem na Beyonce kwenye wimbo.

Kinanda kinachosikika amepiga Skyler Grey singer na songwriter ambaye pia aliandika chorus ya love the way you lie
 
Album bora za hiphop za muda wote.

1. Ilmatic - Nas

2. The Marshall Mathers LP - Eminem

3. All Eyez on Me - Tupac

4. Ready to Die -Notorious B.I.G.

5. The Chronic - Dr. Dre

6. Reasonable Doubt -Jay-Z

7. Straight Outta Compton - N.W.A

8. The Eminem Show - Eminem

9. Get Rich or Die Tryin - 50 Cent

10. Paid in full - Eric B & Rakim

Hii ni according ya research yangu binafsi
Salute
 
8966a3330c512faf402f26cc3a80ab3e.jpg


Tuongelee kidogo album ya sasa ya Jay Z iitwayo 4:44

Ambayo P Diddy anasema ni moja kati ya album bora kwenye hiphop.

P Diddy amesema “4:44 ni zaidi ya album,Ni wajibu wa msanii Kuonyesha umekua,4:44 ina fikra tofauti na mabadiliko ya jinsi tunavyo fikiria,Jay Z anaushawishi mkubwa kwangu na kwa watu wengine,Tumpe Ushirikiano na tushirikiane kunyanyua bidha zetu”

Ukiangalia hii album mashairi yake, topic alizozizungumza, midundo aliyotumia utaona ni kwa namna gani Jigga anastahili heshima na ufalme wa hiphop.

4:44 ni kama falsafa fulani inahitaji uwe na ubongo mzuri kuelewa kilichomo.

My fav kwenye hiyo album ni marcy me na story of OJ.
Smile ni flames
Ila hio album ni kali yote kwa ujumla wake
 
Billboard is industry centric, kwenye hiphop you have to consider loco and underground MCs, yani pamoja na ufahamu wako kwenye hiyo list kumkosa mtu kana krs-one haikupi shaka?

Fuatilua hiphop vizuri, na hiphop ya kweli haiko billboard wala kwenye mainstream media....
Hawa billboard naona huwa wameegemea sana kwenye mainstream wanasahau kuwa handakini ndo kuna maemceez wakali balaa. Sijawahi wakubali hawa jamaa hata kidogo labda ni kwa vile naamini katika hip hop ya handakini zaidi[/QUOTE]
Exactly
 
Hawa billboard naona huwa wameegemea sana kwenye mainstream wanasahau kuwa handakini ndo kuna maemceez wakali balaa. Sijawahi wakubali hawa jamaa hata kidogo labda ni kwa vile naamini katika hip hop ya handakini zaidi
Exactly[/QUOTE]Yas what you say is true
 
Afadhali umesema ni mtazamo wako.


Hakuna album kali ya hiphop kuwahi kutokea bongo zaidi ya "Ulimwengu ndio Mama" ya J Moe.


Nyimbo zote kwenye album ni classic kuanzia Bishoo, Majukumu, Misosi mitungi na Pamba etc

Kwenye wimbo bora Chemsha bongo nakubaliana na wewe.


Ila tena msanii mkali wa hiphop ataendelea kuwa Hashim Dogo.
Ata huu ni mtazamo wako pia.
 
Nafikiri baada ya wao billboard kufanya tafiti Pac hakubahatika kuwepo kwenye list. Wewe unafikiri kwa nini alistaili kuwepo?
Influence yake na ngoma zake kali, 2pac was somehow mwanamapinduzi, ana nyimbo kama whitemans world sasa unatarajia nini, si kama kutarajia media kama clouds watoe list ya wasanii wakali wa hip hop Tanzania then utarajie humo utakuta jina la Nash Mc au Nikki Mbishi, nakwambia katika hiyo list Ney wa mitego, madee wataingia teh teh
 
Album bora za hiphop za muda wote.

1. Ilmatic - Nas

2. The Marshall Mathers LP - Eminem

3. All Eyez on Me - Tupac

4. Ready to Die -Notorious B.I.G.

5. The Chronic - Dr. Dre

6. Reasonable Doubt -Jay-Z

7. Straight Outta Compton - N.W.A

8. The Eminem Show - Eminem

9. Get Rich or Die Tryin - 50 Cent

10. Paid in full - Eric B & Rakim

Hii ni according ya research yangu binafsi
Mbona umenisemea sasa sijapenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom