BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Pengine waweza hisi hadithi lakini ndicho kituko kinachoongelewa kwamba kuna simu mbil za Mhe. Clinton azionekani.
Binafsi nijuavyo hakuna ukweli halisi maana kama zimepigwa naamini uslama nao wamehusika na pia kuna kamera, inayoonyeshwa kila mzigo unapotolewa sasa kwa nini asiende kuangali na badala yake kuanza kutishana waandikiane barua
nafikiri ifike wakati tujithamini wenyewe
Any way tuwaachie wenyewe ..ifike wakati tujipende wenyewe..ni ngumu kuiibiwa mtu kama clinton sijui
wenye upeo na mizigo ya diplomats naomba tusaidiane kwa hilo
Binafsi nijuavyo hakuna ukweli halisi maana kama zimepigwa naamini uslama nao wamehusika na pia kuna kamera, inayoonyeshwa kila mzigo unapotolewa sasa kwa nini asiende kuangali na badala yake kuanza kutishana waandikiane barua
nafikiri ifike wakati tujithamini wenyewe
Any way tuwaachie wenyewe ..ifike wakati tujipende wenyewe..ni ngumu kuiibiwa mtu kama clinton sijui
wenye upeo na mizigo ya diplomats naomba tusaidiane kwa hilo