GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,173
Ndugu yangu Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima (Fabregas) kawajazeni Upepo ( Kawasifieni ) nanyi mlivyo Mapimbi na Maboya mmejaa na Kujiamini mkidhania Msudani ni Mjibuti mliyemuonea kwakuwa Kwao kuna Utapiamlo na Wachezaji wao Wote walikuwa na Njaa + huo Utapiamlo.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.
Mwanamume ws Shoka ( Mumewe Mtu ) huyoooooo zake Zambia kuzichukua Tatu za huko na kuja Kumaliza Kazi hapa Nyumbani na kama kawaida yangu Kuingia Makundi ya CAFCL ambayo kuna Mpuuzi Mmoja hajaingia tokea mwaka 1998 kisha niitafute Nusu Fainali na ikiwezekana hata Fainali kabisa na kuwa Bingwa / Mabingwa wa CAFCL na siyo kuishia tu kuwa Finalist wa Kombe la Luzazi la CAFCC na kurejea na Medali za Mbao za Mtaa wa Mchikichini Ilala.
Cc: SAGAI GALGANO, Bila bila, rodrick alexander etc.