Pennsylvania
JF-Expert Member
- Sep 25, 2019
- 335
- 498
Habari wakuu!
Kama ni mkazi wa Dar si ajabu kuona siku hizi wanaume kuvaa vazi la kibukta juu ya magoti. Ukienda clubs ni Kawaida sana kuona wanaume wamekivaa. Upande mwingine, unaibua mashaka kwanini mapaja yaonekane?
Hili mnalionaje?
Chini ni mfano wa post yangu.
Kama ni mkazi wa Dar si ajabu kuona siku hizi wanaume kuvaa vazi la kibukta juu ya magoti. Ukienda clubs ni Kawaida sana kuona wanaume wamekivaa. Upande mwingine, unaibua mashaka kwanini mapaja yaonekane?
Hili mnalionaje?
Chini ni mfano wa post yangu.