Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Usiombee uteleze wakati upo unajilia mtini, lazima udondoke tu sababu matawi yake hayana uimara sana.
Zambarau. Morogoro kuna mtaa unaitwa maternity, umejaa mizambarau kibao.
Usiombee uteleze wakati upo unajilia mtini, lazima udondoke tu sababu matawi yake hayana uimara sana.
Swala sio hilo la mvua bali matawi yake yako very weak
Mkuu Zemarc karibu mtaa wa Kilakala Mizambarauni
Siku hizi wanzichuma na kuuza vipimo 100, 200 mpaka 500
Usiombee uteleze wakati upo unajilia mtini, lazima udondoke tu sababu matawi yake hayana uimara sana.
huruhuriwi kupanda wakati mvua inanyesha au imekatika
Swala sio hilo la mvua bali matawi yake yako very weak
miti yake inadondosha sana coz matunda yake yanakaa mwishoni mwa tawi so ili kuyapata unatakiwa uyafuate kwa kulalia tumbo au uwe na ndoana uyavute.ukiyala ulimi unajaa ukakasi.dah!i miss them too!
Karibu morogoro mizambarauni
Mkuu,
Hiyo ni mitaa yangu sana. Tunapaita pale Maternity opposite na TCC.
Inawezekana tumeshakutana mitaa hiyo mara kadhaa.
Inawezekana kiongozi
by the way ni CCT sio TCC na ni mtaa nakatiza sana kwenye pilika za kusaka "status" ya familia na nimekaa mitaa ya Yehova kabla ya kujimuvuzisha Kihonda