na hii ni special kwa wasafwa, kwa msafwa tunda ni fyurisi na si vinginevyo.... japo mafyurisi yanapotea sana mbeya kwasababu ya watu kujenga. na mafyurisi ya pale mjini ni madogo ma machachu tofauti na isyonje na namba one ambayo ni makubwa...
na hii ni special kwa wasafwa, kwa msafwa tunda ni fyurisi na si vinginevyo.... japo mafyurisi yanapotea sana mbeya kwasababu ya watu kujenga. na mafyurisi ya pale mjini ni madogo ma machachu tofauti na isyonje na namba one ambayo ni makubwa...
na hii ni special kwa wasafwa, kwa msafwa tunda ni fyurisi na si vinginevyo.... japo mafyurisi yanapotea sana mbeya kwasababu ya watu kujenga. na mafyurisi ya pale mjini ni madogo ma machachu tofauti na isyonje na namba one ambayo ni makubwa...
Wanazingua sana. Watu wanajenga nyumba wanasahau kupanda matunda(mafyulisi). Ila haya makubwa ya kisasa hayachelewi kuharibika na ladha ni moja plain. Tule tudogo tuna aina nyinginyingi.
Tupige biashara. Tupande tuseme zinatibu zile ishu, typhoid, miguu kuwaka moto, malaria sugu, UTI, tumbo kujaa gesi,mapunye, vidonda vya tumbo nk. Hadi waje kushtuka tuko mbali kama Ndodi.