Ngoja nijalibu kukutumia then ukiweza iweke waione ila sio mganda maana analia kiarabu kama mghana hiviMwenye iyo video anitumie kwenye +1432356376543346636
video ipo na nikweli ila sina uhakika kama ni bint wa uganda ama wa wapi . matukio kama haya saudi arabia mbona ya kawaida sana kwa wageni.Hakuna hiyo kitu,ni uongo,huoni video.
Well said....Kama wenyewe wanakataza na wanataratibu zao na huziwezi kwa nini unaenda...
Dawa yao na sisi tuache kuwaona vimungu watu hawa watu weupe!Mtu mweupe sio mtu,hasa hao waarabu sisi weusi wanatuona nyani tu ukijipindua anga zao maji utaita mma...mawili:hawajakutumikisha watakufukuza kwao bila chochote&hawajakuua watakutia ulemavu wa maisha.
Mimi ninayo ila kuandika namba zote hizi unanilipa auMwenye iyo video anitumie kwenye +1432356376543346636
International laws ndio zipi hizo? mbona nyie mnaporwa madini na ufisadi kila kona haziwatetei licha ya ushahidi kuwepo wazi,dogo kichwa kina makamasi hicho umesoma international law?;diplomasia?
[HASHTAG]#ficha[/HASHTAG] utupu wako!
nasikia mtoto aliyeanguka kwenye ngazi ni mzima kabisa.
Mimi niliwela video humu ikanyofolewa mara moja, ila waarab ni wastaarab so hawana ubinaadamWeka hiyo video hapa
Dini yetu inaagiza hivyo, we fuata yakoMie sikuweza kuiangalia yote hii. Nilitumiwa kwenye Whatsapp siku mbili zilizopita. Inahitaji moyo kuangalia binadamu mwenzio akichinjwa. Hawa watu wa ajabu sana halafu wakitoka hapo wanajifanya wasalihina sana sala tano kwa siku! Hizi dini Mh!
Dini yetu inaagiza hivyo, we fuata yako
Hiz nchi za kiislamu
N kama zmelaaniwa
Hazfai hata kwa dawa
Kuitwa nchi