Executor
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 867
- 990
Habari ndugu zangu....
Laptop yangu kwasasa nitakapoichomeka charge inaleta mawimbi mawimbi katika screen(kama inavoonekana katika picha) inanipelekea kuizima tu na kuiwasha tena maana siwezi kufanya chochote ikiwa katika hali hiyo....
Shida inaweza kuwa nini...?
Solution yake yawezakuwa nini...?
Thanks.
Laptop yangu kwasasa nitakapoichomeka charge inaleta mawimbi mawimbi katika screen(kama inavoonekana katika picha) inanipelekea kuizima tu na kuiwasha tena maana siwezi kufanya chochote ikiwa katika hali hiyo....
Shida inaweza kuwa nini...?
Solution yake yawezakuwa nini...?
Thanks.