Hili swali unalichukuliaje?? ...


Kwa kwelii ni muuzaji huyo loud and clear yan..!!
 
duh!nitauliza bei yake nianze kubagain nae!
 
NIlipoulizwa swali la bei nilimwambia kuhusu pesa sio tatizo, ila nilimuuliza kama ata stakabadhi (receipt/cash sale). Majibu nilopewa ni kwamba eti nina dharau. Nilikosea wapi waungwana.
Kila noti ya Tanzania imeandikwa hivi "FEDHA HALALI KWA MALIPO YA SHILLINGI ............... " Je ni fedha gani halali kwa malipo ya 6 x 6?????
 
kitu clear....na wewe unamwaga sera zako...zikishabihiana....lets go....kama no...sambaratika...maisha yanasonga....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…