Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Wakuu hii Nchi ni kama umefungulia brek kila kona ya Nchi ni maendeleo tu
Hili soko jipya na la kisasa likikamilika linaweza funika hata Kariakoo
Wakazi wa Ilala wamemwagia pongezi Rais Magufuli kwa kuamua kuwajengea soko la kisasa
Wana ilala mpewe nini tena na Rais Magufuli ?
Kazi kwenu October ni kumpa zote tu
Hili soko jipya na la kisasa likikamilika linaweza funika hata Kariakoo
Wakazi wa Ilala wamemwagia pongezi Rais Magufuli kwa kuamua kuwajengea soko la kisasa
Wana ilala mpewe nini tena na Rais Magufuli ?
Kazi kwenu October ni kumpa zote tu