jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Nchi haitambui wajibu wake wa kunilinda kwa silaha nilizozinunua mimi mwenyewe!
Mimi nawalipa mishahara yao!
Mimi nawanunulia vitendea kazi vyao!
Mimi nalipa viinua mgongo vyao!
Mimi nagharimia matibabu yao!
YOTE HIYO ILI WANITUMIKIE.
Wanilinde "tafazali"