Hili sio kosa la kwanza la Tundu Lissu

JOMAM

JF-Expert Member
Aug 6, 2012
330
139
Toka alipotoa maoni yake kwenye vyombo vya habari kuhusu kile anachokifikiri kwa utawala wa awamu ya tano mh Tundu Lissu amekuwa mjadala kwa makundi mbalimbali nchini.

Pamoja na maelezo mengi ya kichochezi aliyozungumza mh Lissu, hili si kosa lake la kwanza kwa watanzania.

Ikumbukwe mh lissu alisha wahi kutoa dhihaka kwa mwasisi wa taifa hili Mwl Nyerere na kuwafanya watanzania kujiuliza juu ya uwezo wake kiakili.

Tamko lake la juzi limedhihirisha kuwa si tu anaupungufu kiakili lakini hata nafasi yake ya uongozi inatakiwa kutazamwa mara mbilimbili. Mh Tundu lissu ametoa madai ya kupendelewa kanda ya ziwa akasahau aliko chadema Mh Mbowe ni mwenyekiti na anatoka kaskazini na mh Lowassa alikuwa mgombea urais akitokea kaskazini, sitowataja wengine...

Lakini nitoe tu rai wakati tukiwa tunatafakari nafasi ya uongozi kwa mtu kama lissu,ni vyema kutoa matamko yasiyo ya kichochezi au kulenga kukejeri kundi moja dhidi ya jingine.

Nafasi ya uongozi ni kwa mtu mwenye sifa na si kwasababu ya ukanda hata wote wangetoka eneo moja kama wanasifa kwanini wasiwe? wawe wa kaskazini au mashariki au magharibi swala ni uwezo na si mengine.
 
Toka alipotoa maoni yake kwenye vyombo vya habari kuhusu kile anachokifikiri kwa utawala wa awamu ya tano mh Tundu Lissu amekuwa mjadala kwa makundi mbalimbali nchini.
Pamoja na maelezo mengi ya kichochezi aliyozungumza mh Lissu, hili si kosa lake la kwanza kwa watanzania.
Ikumbukwe mh lissu alisha wahi kutoa dhihaka kwa mwasisi wa taifa hili Mwl Nyerere na kuwafanya watanzania kujiuliza juu ya uwezo wake kiakili.
Tamko lake la juzi limedhihirisha kuwa si tu anaupungufu kiakili lakini hata nafasi yake ya uongozi inatakiwa kutazamwa mara mbilimbili. Mh Tundu lissu ametoa madai ya kupendelewa kanda ya ziwa akasahau aliko chadema Mh Mbowe ni mwenyekiti na anatoka kaskazini na mh Lowassa alikuwa mgombea urais akitokea kaskazini, sitowataja wengine...
Lakini nitoe tu rai wakati tukiwa tunatafakari nafasi ya uongozi kwa mtu kama lissu,ni vyema kutoa matamko yasiyo ya kichochezi au kulenga kukejeri kundi moja dhidi ya jingine. Nafasi ya uongozi ni kwa mtu mwenye sifa na si kwasababu ya ukanda hata wote wangetoka eneo moja kama wanasifa kwanini wasiwe? wawe wa kaskazini au mashariki au magharibi swala ni uwezo na si mengine.
Nimeishia kwenye neno"kichochezi"
Scrap!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Huna akili watu watoke upande mmoja kisa wana uwezo, je upande mwingine hawana uwezo? Tunapomsifu Nyerere kuwa alituunganisha kwa kutuchanganya makabila yote una mwona hakuwa na akili. Huwezi nchi yenye makabila mengi kama hii ukachukua watu wa upande mmoja eti kwa kisingizio kwamba ndio wenye uwezo, mbona shule ziko kila kona ya nchi hii kwa hiyo hizo shule nyingine hazitoi watu wenye uwezo isipokuwa za kanda moja tu.
 
Toka alipotoa maoni yake kwenye vyombo vya habari kuhusu kile anachokifikiri kwa utawala wa awamu ya tano mh Tundu Lissu amekuwa mjadala kwa makundi mbalimbali nchini.
Pamoja na maelezo mengi ya kichochezi aliyozungumza mh Lissu, hili si kosa lake la kwanza kwa watanzania.
Ikumbukwe mh lissu alisha wahi kutoa dhihaka kwa mwasisi wa taifa hili Mwl Nyerere na kuwafanya watanzania kujiuliza juu ya uwezo wake kiakili.
Tamko lake la juzi limedhihirisha kuwa si tu anaupungufu kiakili lakini hata nafasi yake ya uongozi inatakiwa kutazamwa mara mbilimbili. Mh Tundu lissu ametoa madai ya kupendelewa kanda ya ziwa akasahau aliko chadema Mh Mbowe ni mwenyekiti na anatoka kaskazini na mh Lowassa alikuwa mgombea urais akitokea kaskazini, sitowataja wengine...
Lakini nitoe tu rai wakati tukiwa tunatafakari nafasi ya uongozi kwa mtu kama lissu,ni vyema kutoa matamko yasiyo ya kichochezi au kulenga kukejeri kundi moja dhidi ya jingine. Nafasi ya uongozi ni kwa mtu mwenye sifa na si kwasababu ya ukanda hata wote wangetoka eneo moja kama wanasifa kwanini wasiwe? wawe wa kaskazini au mashariki au magharibi swala ni uwezo na si mengine.

Mmeanza lini kujua kwama uongozi ni uwezo? si nyie mlikuwa mnaleta siasa chafu kwamba cdm ni chama cha wachaga baada ya kuzidiwa hoja kisa mwenyekiti wa cdm ni mchaga? Si nyie mlikihusisha cdm na ukristo kisa Dr.Slaa alikuwa padri mstaafa wa kanisa katoliki? Ule upuuzi mlidhani ungeishia pale. Sasa mtazamo ule mliotumia kikichafua cdm iweje leo wengine watumie jicho lilelile mlilotumia nyie muone Lissu kakosea? Vuneni mbegu mliyootesha ili mjifunze siku nyingine kwamba siasa za majitaka hazilipi.
 
Karma ni kweli, hivi kuna sababu yeyote ya kuhahangaika na mtu mwenye upungufu wa akili. Tangu lini mgonjwa wa akili anashugulikiwa na vyombo vya dola badala ya kusaidiwa!!?
Baada ya kumgundua kuwa ni tahira wamempuuza mkuu.
 
Mijitu hata ikiwa na waume/wakezao kitandani yanamuwaza lissu.......Mnanikera!!!Ebu toa litakataka lako.Jinga kabisa!!The millions of times are dulily used to present rubbish issues over Lissu.
Kama wewe siyo lisu basi nawe ni tahira kama Lissu
 
Shambulia hoja zake kwa ushahid badala ya personality yake! Bila hoja wewe utakuwa ndiye mwehu!
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom