Hili ni pepo au?

Hili ni pepo au?

Hi friends! I hope nyote mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekua ikinitokea kama wiki 1 sasa!

Nimekua nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed ya ajabu sana wakati hapa nina kama wiki 2 nimetoka kumalizia likizo kwa mpenzi wangu ambae tulikua pamoja kwa mda wa wiki 2 nzima!

Sasa nashindwa kuelewa kwanini hii hali inajitokeza kwa kasi ya ajabu wakati majuz tu nimetoka kupata dozi na nashindwa cha kufanya coz nipo mbali na nimpendae je nifanyeje?
Bukoba? Ni mbali sana.Nilidhani upo dar ningekupa tempo!! By the way mpenzi wako umeshamwambia kuhusu hilo au umekimbilia one way Jf?
 
Unataka kutuambia kuwa hii ni mara ya kwanza kuwa mbali naye?? Ina maana sku zote kila ukisikia hamu unaimaliza kkwa kugegedwa? Na unafikir hakuna njia nyingne itakayokufanya uipotezee hyo nyege yako zaidi kupigwa pipe? Hapo jamaa kaingiliwa tayar hapana mke hapo. Two weeks lubricant zinamwagka

I said siku zote nipo mbali nae kwa 7bu yeye yupo arusha mim npo bk jaman! hua tunakutana mara 1 moja yey akipata chance kazini au mimi nikipata chance!!
 
Wahaya kibao huko tafuta moja akupige katerero utatoa maji ndoo nafikiri hiyo tiba tosha dadaangu
 
ndo nini kuniweka hapa kwenye kundi la shemale ...
user-online.png
Ngalikihinja mimi sipigi puli bwana
Kujuwa siyo lazima uwe unapiga bana... We muelimishe tu..... Shemale unamaanisha Semenya au..??
 
Bukoba? Ni mbali sana.Nilidhani upo dar ningekupa tempo!! By the way mpenzi wako umeshamwambia kuhusu hilo au umekimbilia one way Jf?

yap he knows abt this na amejawa na wasiwasi sana coz both of us tumebanwa na kazi si unajua private institutions zilivo???
 
Hi friends! I hope nyote mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekua ikinitokea kama wiki 1 sasa! Nimekua nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed ya ajabu sana wakati hapa nina kama wiki 2 nimetoka kumalizia likizo kwa mpenzi wangu ambae tulikua pamoja kwa mda wa wiki 2 nzima! Sasa nashindwa kuelewa kwanini hii hali inajitokeza kwa kasi ya ajabu wakati majuz tu nimetoka kupata dozi na nashindwa cha kufanya coz nipo mbali na nimpendae je nifanyeje?
Wala usimbwele sana, tafuta mwanaume akupige mashine ya ukweli. Ukweli ni kuwa jamaa yako hakukusugua vema na pia pengine sexual hormones zako zinapitia ka transition period flani hv. Upigwe mashine ya hatari mambo yatakaa sawa!
 
I said siku zote nipo mbali nae kwa 7bu yeye yupo arusha mim npo bk jaman! hua tunakutana mara 1 moja yey akipata chance kazini au mimi nikipata chance!!

kwahyo sk zote ambazo hamuonani unamalizaje minyege yako?? Au umeamua kututangazia soko
 
anatuzuga huyu. Aseme ukweli kuwa hajampata wa kumgegeda kama anavofanya sku zote...... Kwan miez yote anafanyaje kama upo mbali naye

nikishawazuga then??????? acha longolongo mwanaume!!
 
Nshaelewa sababu ya hiyo minyege yako... hv umesema anaish bukoba? Aaaaah tatizo lako umeonjeshwa katerero.
 
Hi friends! I hope nyote
mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekua
ikinitokea kama wiki 1 sasa!

Nimekua nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed ya
ajabu sana wakati hapa nina kama wiki 2 nimetoka kumalizia likizo kwa
mpenzi wangu ambae tulikua pamoja kwa mda wa wiki 2 nzima!

Sasa nashindwa kuelewa kwanini hii hali inajitokeza kwa kasi ya ajabu
wakati majuz tu nimetoka kupata dozi na nashindwa cha kufanya coz nipo
mbali na nimpendae je nifanyeje?

Usichangae sasa,si ulizoea hiyo doz ya 2 weeks.Polee
 
no! always tupo mbali nae coz he's working arusha n i'm working bukoba!! apa kaz ipo!
panda meli ishia mwanza utapata utakacho mama.jamaa naona hajakufikisha na amaizi alitela
 
Kwanza umekakaa tu kuwaza kugegedwa ....tafuta shughuli ikuweke busy.

2. Fanya mazoezi yatasaidia kupunguza mawazo ya kutom.b.w.a

3. Fanya phone sex ( sex thru da phone) na mpenzi wako.
Kama hujui inafanywaje....
Najitolea kukupa tutorial for free.
 
Back
Top Bottom