Tanga ndo kwenyeweee! Haangaliwi mtu inaangaliwa POCHI tu! Tena kwa mambo ya MAFIGA MATATU, na ishu ukibeba NDOO na KIDUMU lazima ndo mambo yao haswaaaaaa! Afu wanaume kwa wivu na kuweka TEGO hawajambo, angalia usije kunganganiana na mke wa mtu @ Nairobi!!!!!
hata mimi naunga mkono siku hizi makabila yote wanjia nyingiza kutega mwanaume ili apate pochi