mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,970
- 132,314
Niliona hilo piaNi citrine hili
Kuna citrine yellow colour na whisky colour
Ova
Niliona hilo piaNi citrine hili
Mwambie mdau asije akafikiria labda ni jiwe la thamani kumbe mawe yanayouzwa kwa maloti mpaka kgHaiwezi kuwa Diamond, ni Quartz
Sure, labda kidogo Quartz, Amethysts ingawa nalo hadi likatwe (faceting) na bei yake haina unyama kiivoMwambie mdau asije akafikiria labda ni jiwe la thamani kumbe mawe yanayouzwa kwa maloti mpaka kg
Ova
mkuu uliliweka juu ya kwapa ndio ukapiga picha au liko juu ya kichuguu




Mkuu simu yako imebaki na 9% ya chaji. Kuwa mwangalifumbna google lens inadai ni diamond mfanano wakeView attachment 2112963View attachment 2112964
fuata ushauri wa jamaa liponde na nyundo kisha lete mrejeshi
Hapo hakuna kitu maana bei ya yellow quartz ni Kama $3600/Kg. Hapo anajitaji ayakusanye ya kutosha na bado hayana soko mpaka apate mnunuzi.ndiyo yenyewe ila ikiwa haijafanyiwa cutting(rough) haiuzwi kwa carat inauzwa kwa grams
Kuliponda! Kwani mawe yote yenye thamani yakipondwa huwa hayavunjiki?fanyia kazi ushauri wa wadau hasa wa kujaribu kuliponda ponda kisha tuletee mrejesho
Amethysts ina bei nzuri mkuu.Sure, labda kidogo Quartz, Amethysts ingawa nalo hadi likatwe (faceting) na bei yake haina unyama kiivo
Kuliponda! Kwani mawe yote yenye thamani yakipondwa huwa hayavunjiki?
Yeah hapo anaweza kupata elfu 20-25 hiviNavyoona kama quartz
Ni madini ya bei ndogo sana labda uuze kwa makilo.
10k na kitu hivi



Ni kweli kabisa mkuu, asije akaagiza creti la bia hukohiyo ni bei ya huko masoko ya nje,kwa huku kwetu ukipata sana ni Tsh. elfu 2 kwa gramHapo hakuna kitu maana bei ya yellow quartz ni Kama $3600/Kg. Hapo anajitaji ayakusanye ya kutosha na bado hayana soko mpaka apate mnunuzi.
Umeona eeh...well..kwa mim mtaalam naweza sema hyo ni chupa..stak kuongea sana...kama sio nas ni volcanic glass hyo..ina conchoidal structures za kutoshaaKuna mtu anatafutwa