Hili ni funzo jamani


Nipe namba ya mtoto wa waziri. Kwanza waziri mwenyewe hakutumbuliwa hii awamu ya 5
 
Huyo binti wa Dar alifunga na kusali vipi wakati alikuwa anamegwa na jamaa?
Nadhani alianza baada ya kuona namba haisomeki jamaa akiwa chuo sio kiviiile mpaka akirudi.
 
stori za kutunga nimemanya hilo kutokana na uandishi wako,
lakin ni funzo zuri,
Nakumbuka mim iliwah kunitokea hiyo kuna dada nilitokea kuwa ktika mahusiano kwa muda kidgo mala akaanza visa vya hapa na pale mwisho akanitema kwa dharau na kejeli kibao nikambembeleza lakin wap kwa kwel niliteseka sana
nikapga moyo konde nikaanza maisha mapya nikakaa karibia mwez hiv mara naanza kumuona na gia na misele ya fujo kutka kuja kwangu,mpaka leo hii bado ananiambiaga kuwa bdo ananipenda but mi nilishamtoaga moyoni kitambo sana kwani sasa nina kimwana kingine kizuri tu tena kuliko yeye huu ni mwaka wa kwanza tangu niwe nae hajawah niletea maringo wala dharau na ananipenda sana
ndo huwa nakumbuka huu msemo"ULISEMA CHA NINI WENZIO WANASEMA WATAKIPATA LINI"
 
Sasa hapo tujifunze nini, hiyo ni life scenario ya kawaida
1. Mtoto wa waziri alikua yuko sawa kukataa ndoa cause life aliyokuliwa kuamini before ndoa ndoa lazima uwe independent. jamaa harusi yote alifanyiwa na baba yake

2. Dada wa form six inaonekana alitokea maisha ya kawaida kuamini ndoa ndio mkombozi so jamaa alikua anakaa nae mtaa mmoja so alimuona wa kishua sanaa.

3. Jamaa ni wale mali kazikutaa.
4. Kuna utoto flan( hakuna ukomavu wa akili) Decision nyingi zilikua zinafanyika na wazazi
 
Ukisema cha nini wenzio wanasema watakipata lini... ukinyanyuka wenzio wanakaa...
 
I have experienced the same story aisee. Haya mambo yapo sana katika jamii.
 
ulinifanya kitu mbaya sana we binti ila any way bado sijaoa nakusubiri tu
 
Yaani kama wanaona nilipotea kutokuwa na wao shauri yao kusema kweli. Wabarikiwe wawe matajiri na wawe fresh tu.
Mi na maisha yangu na wangu. Nakomaa kivyangu
 
Binti kwa dharau sana alimwambia, khe wewe vipi, zaidi ya hivyo vi nguo, sijui simu, na laptop una nini cha maana, unaweza kunitunza mimi wewe? Kwa fedheha kaka wa watu aliondoka.

Umenikumbusha T.O mmoja wa HESABU 4m4 na 4m6 alifika UDSM, akapenda mwanamke akapeleka vyeti badala ya maneno

"Mimi ndio T.O wa hesabu 4m4 na six, nakupenda sana dada"

Dada alichomjibu.., " uT.O wako huko huko na mama yako.."

Kijana akaondoka kwa fedheha kubwa kuliko huyo
 
Yaani hapo mwishoni ndo pamenoga haswa! Hata mimi ilishanitokea binti hataki kwenda na mimi wala hataki kunisindikiza nikienda home kwao kisa sipendezi kuambatana nae mwisho wa siku akawa yeye ndo wa kuja home bila chenga na yeye ndo anakuwa wa kwanza kusema nimsindikize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…