Hili ni dili nimepata au ni utapeli?

Hili ni dili nimepata au ni utapeli?

Hiyo namba ya si ipeleke Police uwaambie wawaandalie vunyago vyao kasha waarifu wavifuate hapo kituoni!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwanza ukishaona majina ya Johnson, jackson, redson kaa mbali
 
ni utapeli huo mkuu, achana nao... hebu soma msg vzr jiongeze, na amekwambia anaumwa sijui tonses na sauti imekauka means hata ukipiga hapokei ni mwendo wa sms tu ili unyooshwe vizuri....
 
baa=da ya muda utapigiwa na mtu akijidai ni huyu mwenye pic za kinyago akikusisitiza uende kisha unaambiwa utoe advance hahaha baada ya hapo simu zote zinapotea hewani
 
sms zingine

sms.png
 
Vinyagoo vya kuchongwaa....!! Aisee mimi ilikuwa Munguu tuu lasivyoo ningeshpigwa laki 3 afuu jamaa walitumia namba ya Mtuu ninaemjua kabisaa sasa hapo ndo nksahindwa kuelewaaa.. Ila nlihisi ni matapeli baada ya kupiga simu nkawa sielewi wanayoongea alafu ilee sauti haikuwa ya mama nliemzoea... japo walinitaja mpaka Jinaa.. HAO NI MATAPELIIIII
 
Jinsi ajira zilivyo ngumu halafu fursa inakuja yenyewe Bila kuifuata? Huo wema sijawahi ona.Hapo unaenda kuliwa mchana kweupe
 
Sasa wewe na vinyago wapi na wapi mkuu,kwanza anakuelekeza mpaka jinsi ya kufanya.Huo ni utapeli kaa mbali nae.
 
Back
Top Bottom