Nilishakutana na hii mambo mwaka juzi. Mimi walinipigia kabisa wakanieleza hivyo hivyo... Nikashtuka nilipomueleza mwenzangu akaniambia naye alipata simu Kama hiyo wiki iliyopita. Kaa mbali na hao watu matapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.