Hili Neno: Uchafu Una tabia Moja Mbaya Sana

Hili Neno: Uchafu Una tabia Moja Mbaya Sana

mkuu chahali analalamika hakulipwa milioni12.5 za kampeni ya ccm 2015,wewe ulilipwa? Au umeamua kulilia baharini machozi yaende na maji
Kwenye kichwa chako unaamini wote wote wananunulika; labda wasio na principles kwenye maisha yao.
 
Ule uzalendo uchwara uliishia wapi? Mbona sasa hivi hamuendelei nao? Unafiki una shida zake. Ogopa wazo la mtu anayeona mwenge ni kitu cha maana. Nyie mliokuwa mnaona ni jambo la maana mbona mliacha, mngeendelea kuunga mkono sisi tulioona ni siasa nyepesi tungeona aibu.


Na nchi kuwa na watu ninyi ndiyo shida yenyewe!
 
Back
Top Bottom