MmmhFake = bandia, ili useme kitu fake lazima ulinganishe na kinachofanana nacho. Iphone na tecno ni brand mbili tofauti japo zote zinafanya kazi sawa (simu).
Haya muumini wa gsmarena.. Sasa hivi simu za tecno zinakua posted kwenye site 'yenu'.. Vipi una comment gani?Ukizungumzia wataalamu wa kukagua simu bila kuwataja gsmalena unakuwa haujawazungumzia wakagua simu kamili.
Je ww unaweza ukaniambia ni kwanini tecno infinix itel hawaja peleka simu zao gsmalena zikaguliwe?
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Tunashukuru tecno wameamua kuanza kupimana nguvu na makampuni makubwa. na kuruhusu simu zao zikakuliwe na ninadhani hii imechangiwa pakubwa na kelele za hapa jf.Haya muumini wa gsmarena.. Sasa hivi simu za tecno zinakua posted kwenye site 'yenu'.. Vipi una comment gani?
Tecno Camon 11 Pro - Full phone specifications
ACHAAA UONGO,TECNO GSM WAPOHadi simu inaitwa original inamaana kunasehemu
Lazima ipitie na ikaguliwe vya kutosha na wa ndio waseme kwamba hii simu ni original. Lakini tecno hizo sehemu tecno hawajazipeleka simu zao wanaogopa kuabika. kwa mfano ukiingia gsmalena ktk listi ya makampuni ya simu ambayo wanayakagua wao tecno sijui itel hazipo.
Sent from my SM-G950F using Tapatalk