Hili nalo ni muhimu!

Hili nalo ni muhimu!

micka jac

Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
49
Reaction score
20
Kama umeolewa, tulia na mumeo. Na pia, kama umeoa tulia na mkeo. Kuwa mkweli kwa mwenza wako. Kuhangaika hakuna maana kwan waweza kuja leta mtafaruku ktk familia. Mapenzi ya kweli na ya dhati ni mojawapo ya vitu muhimu vitakavyo fikisha mahusiano yenu ya kindoa mbali.. Baraka kwenu ndugu mlio oa/olewa, mungu awaongoze vyema na awajaalie ya kheri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom