Hili linaukweli au ni porojo tu

Hili linaukweli au ni porojo tu

KAFA.cOm

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2013
Posts
1,301
Reaction score
741
*TANGAZO*

umoja wa vijana wa Chama cha mapinduzi(UVCCM)unawatangazia wanafunzi wote waliokosa mikopo ya Elimu ya juu lakini wana sifa zifuatazo:
1. Wamekidhi kigezo cha ufaulu
2.Yatima
3. Wanaotoka familia maskini
4. Waliopewa asilimia ndogo ya mikopo ilihali wanatoka kwenye vipengele 1-3 hapo juu

Wote hapo watume
-Majina yao
-form index number
-vielelezo vyote kuthibitisha kuwa ni yatima hana wazazi(cheti cha kifo kilichothibitishwa)
-vielelezo vinginevyo vya kuthibitisha hali ya familia anayotoka.
Vyote vitumwe kupitia E mail ya uvccm ambayo ni Uvccm1978@gmail.com

mwisho wa awamu ya kwanza kutuma ni tarehe
4 Novemba 2016. Tunaomba taarifa hii iwafikie walengwa wote na UVCCM TAIFA imechukua jukumu la kusimamia na kusaidia wote waliokosa na wana vielelezo.

Tafadhali hii ni kwa wenye vielelezo tu.

Imetolewa na

*Mtemi Sylvester Yaredi*
*kaimu katibu Idara ya Uhamasishaji Sera Utafiti na Mawasiliano UVCCM*

Nimecopy from whatsapp group
 
Muwanyime wenyewe kisha muwaambie mtawasaidia? Mchezo yenu mjue Mungu anawaona
 
Wamenyimwa mkopo na serikali ya ccm. Halafu wanataka kusaidiwa na chama cha ccm. Mmhh hapa naona kama hii kitu ili pangwa tokea mwanzo. Serikali ijipake matope lakini chama tawala kijipake mafuta. Hii kampeni ya siri
 
*TANGAZO*

umoja wa vijana wa Chama cha mapinduzi(UVCCM)unawatangazia wanafunzi wote waliokosa mikopo ya Elimu ya juu lakini wana sifa zifuatazo:
1. Wamekidhi kigezo cha ufaulu
2.Yatima
3. Wanaotoka familia maskini
4. Waliopewa asilimia ndogo ya mikopo ilihali wanatoka kwenye vipengele 1-3 hapo juu

Wote hapo watume
-Majina yao
-form index number
-vielelezo vyote kuthibitisha kuwa ni yatima hana wazazi(cheti cha kifo kilichothibitishwa)
-vielelezo vinginevyo vya kuthibitisha hali ya familia anayotoka.
Vyote vitumwe kupitia E mail ya uvccm ambayo ni Uvccm1978@gmail.com

mwisho wa awamu ya kwanza kutuma ni tarehe
4 Novemba 2016. Tunaomba taarifa hii iwafikie walengwa wote na UVCCM TAIFA imechukua jukumu la kusimamia na kusaidia wote waliokosa na wana vielelezo.

Tafadhali hii ni kwa wenye vielelezo tu.

Imetolewa na

*Mtemi Sylvester Yaredi*
*kaimu katibu Idara ya Uhamasishaji Sera Utafiti na Mawasiliano UVCCM*

Nimecopy from whatsapp group
UVCCM ni taasisi kubwa sana sio rahisi kutumia domain name ya gmail.com tena lwa email hiyo!!wakati wana domain name ya chama .nafikiri
 
Kama wanauwezo wam-face Boss wao wamwambie ukweli kwamba anachokifanya ni ubaguzi wa waziwazi katika jamii moja ya watanzania. Zaidi ya hapo ni maigizo kama kawa.
 
Back
Top Bottom