vingine vya kuchora fisi poriKua na adabu wee na majina ya mtume fisi maji wee unafikir kila kitu chakuandika andika tu
HSahshsaha umetishaMbona mnatumia dawa kukuza vibamia hatuwauliz???
Hahahahahaaaa....... Ah... Mmezidi bwana... Wengine had mnaota matiti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HSahshsaha umetisha
Haya Queen_:Weee....et uone... Kuona huko vepe?? Sio kila kitu unaona tuu wanawake wenye staha bado wapo.... Af wanaume wa mwendo kasi wambea kweli...
Heee.... Kama tumezaliwa hivyo tujikate au??? Shepu kanipa mama. Situmii mchina wala mkorogo.. So sio wote fake...
Aisee..wanavimwagilia??Mbona mnatumia dawa kukuza vibamia hatuwauliz???
Hii Supu ya maana
Jiji La Dar Kwa Issue Ya Chura Sio Kwa Wanawake Tu Hata Wanaume Kuna Baazi Yao Wana Chura Pia.
Utachekwa na fulani.Sasa hiv ukitembea wanawake 28 kati ya 30 utakaokutana nao wanachura na hips vya uhakika na kuvutia
Iv kweli siku hizi robo tatu ya wadada wanazaliwa wanashape zao
Nilizoea kukutana na wadda aidha ana tako hana hips au ana hips ila hana tako ila sasa ni tofauti
Ni madawa au?
Ili Awapime Tezi Dume??.
[emoji38][emoji38][emoji38] leo ni siku yangu ya kucheka tu ,kesho sijui nitalia sanaJiji La Dar Kwa Issue Ya Chura Sio Kwa Wanawake Tu Hata Wanaume Kuna Baazi Yao Wana Chura Pia.
Cheka for life.... Maisha ndo haya... Hauna sababu ya kutokufurah[emoji38][emoji38][emoji38] leo ni siku yangu ya kucheka tu ,kesho sijui nitalia sana
Na nyie mmebadilika siku hiz mnaongoza kwa vibamia na nguv ya trip mbil hamna,,,,mnafanyia mpka matamasha ya chips yai na mnakimbilia mnataka mabadiliko gan tena?????Hili swali kama mzaha lakini mimi pia huniwazisha. Kuna shepu hazikuwepo mwanzoni mwa miaka ya 2000, sasa cjui binadamu bado tunabadilika maana si wanasema tulikuwa nyani! Bt kwanini wabadilike women tu?
Haya bi mkubwa asante [emoji38][emoji38][emoji38]Cheka for life.... Maisha ndo haya... Hauna sababu ya kutokufurah
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na nyie mmebadilika siku hiz mnaongoza kwa vibamia na nguv ya trip mbil hamna,,,,mnafanyia mpka matamasha ya chips yai na mnakimbilia mnataka mabadiliko gan tena?????
Nmepita tu kuisev hii picha nikaifanyie utafiti
Jamaniii tunaumizana huku....View attachment 379235[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asili ya mwafrica kufungasha tangu zamani....ila sasa mavazi ya siku hizi ndiyo. ....YARABI MOLA niokoe!Sasa hiv ukitembea wanawake 28 kati ya 30 utakaokutana nao wanachura na hips vya uhakika na kuvutia
Iv kweli siku hizi robo tatu ya wadada wanazaliwa wanashape zao
Nilizoea kukutana na wadda aidha ana tako hana hips au ana hips ila hana tako ila sasa ni tofauti
Ni madawa au?