Hili linaniacha hoi juu ya wanawake wa dar

Hili linaniacha hoi juu ya wanawake wa dar

Sikuhizi sheikh wangu ukiwa barabarani unaogopa hata kuangalia pembn unaweza sababisha ajali, January mwak huu vyuo vilipofunguliwa nilikuwa naelekea job kuna mahali njian pana railway cross nikakuta foleni balaa pikpik,baskel na magar,kufik mbele kidogo nilikutana na wezere Gig money cha mtot ghafl nikatia brake na treni likwa linakuj, dada zet mnatudeadisha kwa mengi walah,!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Sasa hiv ukitembea wanawake 28 kati ya 30 utakaokutana nao wanachura na hips vya uhakika na kuvutia

Iv kweli siku hizi robo tatu ya wadada wanazaliwa wanashape zao

Nilizoea kukutana na wadda aidha ana tako hana hips au ana hips ila hana tako ila sasa ni tofauti

Ni madawa au?
Kati ya hao chukua 25 wakuvulie nguo uone kufuru ya shetani. Kama ilikuwa hawajajalidia basi utakutana na mabonde bonde na michirizi ikiwa ni athari ya dawa za mchina. Kwa kifupi wengi wao ni feki.
 
Hili swali kama mzaha lakini mimi pia huniwazisha. Kuna shepu hazikuwepo mwanzoni mwa miaka ya 2000, sasa cjui binadamu bado tunabadilika maana si wanasema tulikuwa nyani! Bt kwanini wabadilike women tu?
Mkuu unamaanisha wanaelekea kuwa tembo sasa kutoka kuwa kima?
 
wanaangalia soko linataka nini ndio wanaleta
kwa sasa soko linataka chura na hips

hapo nyuma ilikuwa soko linahitaji rangi ya mtume

Unatabiri nn kuhusu soko lijalo litahitaji nn unfkr
 
Si ingewauliza hao unaokutana nao? Unawaacha wahusika kuja kuuliza huku JF??!!
 
Nilijua mimi peke yangu nlikua najiuliza hili swali,haswaaa wadada wanaofanya kazi ktk maofisi,unaweza kuingia ofisin hapa mjin unakuta wadada wote ni warembo,mips ndio balaa mpaka unajiuliza inamaana wote wamezaliwa na mama mmoja
 
1470856638677.jpg
 
wanaangalia soko linataka nini ndio wanaleta
kwa sasa soko linataka chura na hips

hapo nyuma ilikuwa soko linahitaji rangi ya mtume
Kua na adabu wee na majina ya mtume fisi maji wee unafikir kila kitu chakuandika andika tu
 
Back
Top Bottom