Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,717
- 44,109
Radi jero tuuNenda ukanunue wewe ndio utajua utanitumia vipi, hukuona mwez uliopita kuna sehemu iliua ng'ombe Mia na ilipiga jua likiwa Kali kabisa
Radi jero tuuNenda ukanunue wewe ndio utajua utanitumia vipi, hukuona mwez uliopita kuna sehemu iliua ng'ombe Mia na ilipiga jua likiwa Kali kabisa
Inapita naye mapema sana na mtajua ni radi ya kawaida, sababu inatoka juu as usual na mara nyingi wanazituma muda mvua ikinyesha au ikianza kunyesha story za uchawi ukisikiliza sana unaweza ogopa hata kwenda sehemu ila ni vitu fulani normal na tumezoeaHata kama muhusika yupo kashika maiki anahutubia Raia inapita nae?
Sasa Mimi ntatuma jua la sa7 mchana Nina hasira Sana na watesi wanguInapita naye mapema sana na mtajua ni radi ya kawaida, sababu inatoka juu as usual na mara nyingi wanazituma muda mvua ikinyesha au ikianza kunyesha story za uchawi ukisikiliza sana unaweza ogopa hata kwenda sehemu ila ni vitu fulani normal na tumezoea
Wee chiiiziii et 🙌🙌🙌😂😂😂Nikinunua nitakutafuta tukutane niijaribishie kwako
Ndio utajua uchawi upo au haupoWee chiiiziii et 🙌🙌🙌😂😂😂
We kumbe jauNdio utajua uchawi upo au haupo
WapiRadi jero tuu