comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,478
- 11,581
Nataka nikanunue za masafa marefu
Nikipata hii mtafurahia kazi yanguAisee hii nitakufanyia tone tone
Inafika kwa Putin na TrumpYa masafa marefu inafika zanzbar?
jaribu kwanza kwa lucas mwashamba mzee wa kumwaga machozi 🤣Ya masafa marefu inafika zanzbar?
Uhakika hioYa masafa marefu inafika zanzbar?
Hujalala mkuuYaani uwongo uwongo tuu...
Kwanza huo ni uvivu wa kulima...
Uvivu wa kutembeza nyanya na kuwahi asubuhi stand kuuza chenji
Kila mmoja na utaalamu wakeYaani uwongo uwongo tuu...
Kwanza huo ni uvivu wa kulima...
Uvivu wa kutembeza nyanya na kuwahi asubuhi stand kuuza chenji
Bado mkuu nataka nifunge ofisi..Hujalala mkuu
Uwongo huo..Kila mmoja na utaalamu wake
Nenda ukanunue wewe ndio utajua utanitumia vipi, hukuona mwez uliopita kuna sehemu iliua ng'ombe Mia na ilipiga jua likiwa Kali kabisaUongo tu, kama ni kweli wafanye live tumalize ubishi, hata milioni watapewa.
Nikinunua nitakutafuta tukutane niijaribishie kwakoUwongo huo..
Utoto..
Hivi katika ulimwengu huu wa sasa mambo ya science na technology hakuna mtu amebahatila kurecord hizo radi
Hizi mbona hata huku Kigoma zimejaa, unatuma na inamuua muhusika tu hata kama wapo kwenye kikao au sokoniNataka nikanunue za masafa marefu
View attachment 3356205
Hata kama muhusika yupo kashika maiki anahutubia Raia inapita nae?Hizi mbona hata huku Kigoma zimejaa, unatuma na inamuua muhusika tu hata kama wapo kwenye kikao au sokoni