Hili lilimgarimu Dr Slaa 2010-uchaguzu mkuu

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Kwa wafanya tadhimini bado tunaendelea kuchambua mambo na kweli suala la ukosefu wa elimu ya uraia na udini ndicho chanzo kukuu cha CHADEMA kushindwa uchaguzi mkuu uliopita. Wemgi waliowaislamu bado wanaamini kuwa Dr bado no Padri na hajui lolote kuhusu taaluma yake nyimgine mbali na upadri. Mi muhimu sana kutoa elimu ya uma na siasa zisizo na mrengo wa kidini ndani yake. Hili ni moja ya mambo CHADEMA wayohitaji kuelimisha umma wa Tanzania kwa sasa.
 
Kwa wafanya tadhimini bado tunaendelea kuchambua mambo na kweli suala la ukosefu wa elimu ya uraia na udini ndicho chanzo kukuu cha CHADEMA kushindwa uchaguzi mkuu uliopita. Wemgi waliowaislamu bado wanaamini kuwa Dr bado no Padri na hajui lolote kuhusu taaluma yake nyimgine mbali na upadri. Mi muhimu sana kutoa elimu ya uma na siasa zisizo na mrengo wa kidini ndani yake. Hili ni moja ya mambo CHADEMA wayohitaji kuelimisha umma wa Tanzania kwa sasa.

Wenye udini ni ccm...nenda ukawapatie hilo somo na sio CDM, hakuna cha udini na hata mkijaribu kupakaza tope la udini, it would wash off right away maana watu hawadanganyike tena.....deal with CCM ndiyo size yako....sio CDM
 
Umesema mambo mawili, mbona unazungumzia tu, lipi la pili?

Ndugu mchambuzi, naona unachambua dini ya Slaa tu, Vipi mbona huchambui vitu vingine kama mapambano dhidi ya dhuluma na ufisadi?

Napenda nikukumbushe kwamba, issue ya udini ina mashiko kwa wale wanaofikiriwa lakini si kwa wale wanaofikiri wenywe. Nitumie mfano wa hiyo dini yake Slaa(WAKRISTO) ukifanikiwa kuhudhuria mikutano na makanisa yao, utabaini kuwa wakristo si wamoja. Hakuna hata siku moja utawaweka pamoja ili kupanga kufanya kitu ambacho wewe utakiita cha maslahi yao kama wakristo. Nina maana gani?

Wasabato ni wakristo, wakatoliki ni wakristo, waanglikana, walokole(nao wana varieties) wote hawa ni wakristo, lakini wewe ni shahidi no.1 kwamba si mara moja tumeshuhudia wakishutumiana hata kutukanana na kutishiana kuburuzana mahakamani kwa sababu hizo za kidini. Nani kakwambia wasabato unaweza kuwaweka pamoja na wakatoliki kuabudu. Wote wana interest za tofauti, so sio rahisi wakakaa kupanga kuchagua kiongozi mkristo. Hii ni hoja ambayo mwazilishi wake alikurupuka tu akidhania kwamba wakristo niwamoja. Na kwa vile ilikuja muda mfupi kabla ya kupiga kura pengine watu bila ya kudadisi uhalisia wake wakamwamini.

Lakini ukumbuke mtoa hoja anajua ile ilikuwa ni hoja ya muda tu, na kwamba watu mwishowe watashituka, so next time atakuja na nyingine.
Ni vema wewe mchambuzi na wachambuzi wenzio mkajua kwamba hawa wakriso walipomchagua Slaa walimchagua kwa mvuto na sera za chama chake. Siamini kuwa wasabato au walokole walimchagua eti kwa sababu ya upadre wake.

Hebu jaribu kufanya utafiti wa kina juu ya wakristo, utajua ni kwa kiasi gani wanatofautiana. Lakini kama umetumwa kuja kuendeleza siasa zenu za majitaka, pole tu inakutosha.
 
Umesema mambo mawili, mbona unazungumzia tu, lipi la pili?

Ndugu mchambuzi, naona unachambua dini ya Slaa tu, Vipi mbona huchambui vitu vingine kama mapambano dhidi ya dhuluma na ufisadi?

Napenda nikukumbushe kwamba, issue ya udini ina mashiko kwa wale wanaofikiriwa lakini si kwa wale wanaofikiri wenywe. Nitumie mfano wa hiyo dini yake Slaa(WAKRISTO) ukifanikiwa kuhudhuria mikutano na makanisa yao, utabaini kuwa wakristo si wamoja. Hakuna hata siku moja utawaweka pamoja ili kupanga kufanya kitu ambacho wewe utakiita cha maslahi yao kama wakristo. Nina maana gani?

Wasabato ni wakristo, wakatoliki ni wakristo, waanglikana, walokole(nao wana varieties) wote hawa ni wakristo, lakini wewe ni shahidi no.1 kwamba si mara moja tumeshuhudia wakishutumiana hata kutukanana na kutishiana kuburuzana mahakamani kwa sababu hizo za kidini. Nani kakwambia wasabato unaweza kuwaweka pamoja na wakatoliki kuabudu. Wote wana interest za tofauti, so sio rahisi wakakaa kupanga kuchagua kiongozi mkristo. Hii ni hoja ambayo mwazilishi wake alikurupuka tu akidhania kwamba wakristo niwamoja. Na kwa vile ilikuja muda mfupi kabla ya kupiga kura pengine watu bila ya kudadisi uhalisia wake wakamwamini.

Lakini ukumbuke mtoa hoja anajua ile ilikuwa ni hoja ya muda tu, na kwamba watu mwishowe watashituka, so next time atakuja na nyingine.
Ni vema wewe mchambuzi na wachambuzi wenzio mkajua kwamba hawa wakriso walipomchagua Slaa walimchagua kwa mvuto na sera za chama chake. Siamini kuwa wasabato au walokole walimchagua eti kwa sababu ya upadre wake.

Hebu jaribu kufanya utafiti wa kina juu ya wakristo, utajua ni kwa kiasi gani wanatofautiana. Lakini kama umetumwa kuja kuendeleza siasa zenu za majitaka, pole tu inakutosha.
Hata waislamu pia wamegawanyika hawana umoja kama ambavyo wengi wanafikiria, angalia siku ya kusheherekea IDD ELFITRI ni tatizo. ktk waislamu kuna makundi mawili kama ulivyosema, kuna wale wanaosikia maneno na kuyafanyia na kugundua kuwa ni upuuzi mtupu na wale ambao wanasikia maneno msikitini ya kisiasa na kuyachukulia kuwa ni ya kweli bila ya kuyafanyia utafiti hata chembe na bila ya kuangalia mhusika anayoyasema maneno hayo kuwa anaweza kuwa anatumiwa pamoja na kwamba yeye ni kiongozi wa kidini. kuna mgombea mmoja wa ubunge wa kinondoni mwaka 1995 anaitwa omar mwaulanga tulikuwa tunaswali msikiti mmoja huko kinondoni karibu na soko la mitumba, akiwa msikitini anasema kuwa wamchague lipumba kuwa rais lakini akiwa mitaani ambapo anajua wakristo na watu wengi wanamuona anawaambia wamchague mrema kuwa Rais kwahiyo unaweza kuona Picha halisi. kinachowaponza wengi ni UVIVU wa kuyafanyia kazi wale wanayoelezwa. Leo hii msimamishe mwislamu anayesema chadema kina udini mwambie akupe FACTS au Evidence ya kuthibitisha maneno yake uone utumbo utakaotoka sana sana utasikia shehe fulani kasema !!!! lakini waislamu walio wengi wanaelewa mbinu nyingi chafu CCM inazozitumia ktk kujinufaisha kisiasa. Lipumba alikuwa tishio mwaka 2005 CCM wakaingia kanisani CUF ni chama cha waislamu, Mwaka 2010 SLAA alikuwa tishio wakaingia msikitini Chadema ni chama cha wakristo. you don't need to be rocket scientist to see through this.
 
Kwa wafanya tadhimini bado tunaendelea kuchambua mambo na kweli suala la ukosefu wa elimu ya uraia na udini ndicho chanzo kukuu cha CHADEMA kushindwa uchaguzi mkuu uliopita. Wemgi waliowaislamu bado wanaamini kuwa Dr bado no Padri na hajui lolote kuhusu taaluma yake nyimgine mbali na upadri. Mi muhimu sana kutoa elimu ya uma na siasa zisizo na mrengo wa kidini ndani yake. Hili ni moja ya mambo CHADEMA wayohitaji kuelimisha umma wa Tanzania kwa sasa.

Waislamu tuache unafiki, ubinafsi na Ubaguaji. Mbona Rais Mwinyi alikuwa akiitwa Alhaji na hakuna Mkirsto
aliyewahi kulalamika kwamba tunaongozwa na kiongozi wa uislamu.

Leo kajitokeza Mkirsto ambaye kabobea kwenye mambo ya dini yake tunakimbilia kulalamika kwamba
hatuwezi kuongozwa na Padri achilia mbali kabisa kwamba Huyu mzee hajawahi kuwa na hicho cheo,
haya mambo ndiyo yanayotufanya tuonekane walalamishi na watu tusio na uwezo wa kufanya kitu
chochote kile zaidi ya kujivunia dini yetu.

Naomba tufanye maamuzi yetu katika msingi wa
1. kuondoa utawala ambao unakumbatia rushwa na ufisadi kama ambavyo uislamu unataka.
2. Kuondoa utawala ambao umeshindwa kutuhakikishia watanzania huduma za afya, elimu,
usafiri na miundombinu yake, chakula, mavasi, ulinzi,haki na heshima ya utu.

DR Slaa haendi Ikulu kuanzisha Ufalme wa Mungu wao, hilo liko wazi kwenye kitabu chao kwamba
wanayetegemea aulete ni Yesu Kristo sasa Dini yake sisi inatuhusu nini.

Anakwenda Ikulu kutuongoza kwa Mujibu wa Katiba ya nchi yetu, sisi sote, Makafiri na Waislamu,
ambayo tumekubali kuongozwa chini yake huku tukijua hakika kwamba tunakubali kuongozwa
katika misingi ambayo inawafurahisha hata Makafiri.

Tuache Unafiki. Tupiganie Mahakama yetu ya Kadhi, huo ndio Muongozo wetu wa kweli kabisa
wa uislamu, tupiganie na DR SLAA aingie Ikulu, Japo tufanikiwe kupata futari kwa bei ya chini
na kuila kwenye Mwanga badala ya Giza.

Tubadilike
Alai Wakbar
 
Dr. Slaa hakushindwa uchaguzi. Tume holela ya Lews ndo kikwazo.
 
Ndio maana nimesema mwanzilishi wa hoja hii ya udini is very interlligent. Huyu anajua udhifu wetu na anajua kuutumia kuliko hata tunavyofikiria.
Tusisaha hii kitu inaitwa Devide and Rule. Anajua kabisa kwamba kitu kinachowagusa watu wengi ni imani zetu za kidini. Amepitia hapohapo, nasi bila hata chembe ya kufikiria tumejitupia humo humo, lakini kweli je ugumu wa maisha unamgusa muislam pekee. Akina mama wanaolala mzungu wa nne pale Amana ni wakristo tu? Hivi ni lini tutafumbuka macho jamani?

Hivi, kwenye kashfa ya Dowans na uchafu mwingine wote tunaojua uanahusika na dini gani. Wote tunafahamu wahusika ni wa dini tofauti. Kwanini wao wanongea dini gani kabla sisi hatujaulizana kuhusu dini zetu? Wao hawajui dini wanachojua ni kuchota rasilimali za watoto na wajukuu zetu huku wakichekelea jinsi mbegu yao ya udini waliyoipanda ilivyochipua na kustawi.

Kimsingi hapa sio habari ya kumchagua muislam au mkristo, la hasha, tunahitaji watu watakaoona matatizo yetu, yawaguse nawayatatue. Mimi ninavyoamini hakuna dini inayofundisha watu kula rushwa wala kufanya uchafu tunaoona hawa tuliowapa dhamana wakiufanya. So, hata ukimchagua kiongonzi wa dini yako, kama ni nyang'u ni nyang'au tu.Ataenda kujineemesha huko sisi tutabaki huku nyuma tunaimba Alah akbar na Bwana Yesu asifiwe na njaa zetu.

Tushituke jamani hili swala la udini miongoni mwetu limepandikizwa tu. Hili ni toy tumetupiwa kama watoto tuendelee kunyang'anyana huku wao wakiendelea kuiba rasilimali zetu na kuhamishia nje.Hawa wanawaandaa watoto wao waje wawatawale wana'etu, nyinyi hamuoni hata shule wanazosomeshea wanao ni tofauti na hizi za kwetu? Ama hamuoni watoto wao ndio wanasiasa machachari sana siku hizi, tunafikiri hii ina tafsiri gani? Kwisha habari yetu na hizo dini zetu.

Haya sisi tutakalia hayo hayo. Wenyewe ni wamoja sisi ndio tunaojifanya tunazijua sana hizo dini zetu.

Kalagabaho! Tukizinduka tutakuta tumeishachelewa
 
Hata waislamu pia wamegawanyika hawana umoja kama ambavyo wengi wanafikiria, angalia siku ya kusheherekea IDD ELFITRI ni tatizo. ktk waislamu kuna makundi mawili kama ulivyosema, kuna wale wanaosikia maneno na kuyafanyia na kugundua kuwa ni upuuzi mtupu na wale ambao wanasikia maneno msikitini ya kisiasa na kuyachukulia kuwa ni ya kweli bila ya kuyafanyia utafiti hata chembe na bila ya kuangalia mhusika anayoyasema maneno hayo kuwa anaweza kuwa anatumiwa pamoja na kwamba yeye ni kiongozi wa kidini. kuna mgombea mmoja wa ubunge wa kinondoni mwaka 1995 anaitwa omar mwaulanga tulikuwa tunaswali msikiti mmoja huko kinondoni karibu na soko la mitumba, akiwa msikitini anasema kuwa wamchague lipumba kuwa rais lakini akiwa mitaani ambapo anajua wakristo na watu wengi wanamuona anawaambia wamchague mrema kuwa Rais kwahiyo unaweza kuona Picha halisi. kinachowaponza wengi ni UVIVU wa kuyafanyia kazi wale wanayoelezwa. Leo hii msimamishe mwislamu anayesema chadema kina udini mwambie akupe FACTS au Evidence ya kuthibitisha maneno yake uone utumbo utakaotoka sana sana utasikia shehe fulani kasema !!!! lakini waislamu walio wengi wanaelewa mbinu nyingi chafu CCM inazozitumia ktk kujinufaisha kisiasa. Lipumba alikuwa tishio mwaka 2005 CCM wakaingia kanisani CUF ni chama cha waislamu, Mwaka 2010 SLAA alikuwa tishio wakaingia msikitini Chadema ni chama cha wakristo. you don't need to be rocket scientist to see through this.
mkuu mimi najua kuwa hii ni janja ya ccm tangia CUF (japokuwa kuna kaukweli kidogo). ila kwa hili la chadema acha kwanza wapate kibano ndo siku ingine wajue kumbe kuna umuhimu kuunganisha nguvu pamoja..
 
Kwa wafanya tadhimini bado tunaendelea kuchambua mambo na kweli suala la ukosefu wa elimu ya uraia na udini ndicho chanzo kukuu cha CHADEMA kushindwa uchaguzi mkuu uliopita. Wemgi waliowaislamu bado wanaamini kuwa Dr bado no Padri na hajui lolote kuhusu taaluma yake nyimgine mbali na upadri. Mi muhimu sana kutoa elimu ya uma na siasa zisizo na mrengo wa kidini ndani yake. Hili ni moja ya mambo CHADEMA wayohitaji kuelimisha umma wa Tanzania kwa sasa.

Mimi nadhani SLAA ana zaidi hili la udini, manake mimi ningetegemea SLAA kwa vile ni Padre angeendesha siasa za ustaarabu badala yake imekuwa ni kinyume sana. mimi naomba niende mbali kwamba SLAA ana matatizo ya kisaikolojia. Nasema hivyo kwa sababu wakati akiwa mbunge alikuwa na siasa za kistaarabu, lakini baada ya hapo amekuwa na lugha za kashfa, Hasira za kuzira, mchochezi na mengine mengi. Inawezekana kabisa hana uhakika na ajira yake akiwa CHADEMA na hivyo anajaribu kupalilia ajira yake. Hayo ni mawazo yangu.
 
Hata waislamu pia wamegawanyika hawana umoja kama ambavyo wengi wanafikiria, angalia siku ya kusheherekea IDD ELFITRI ni tatizo. ktk waislamu kuna makundi mawili kama ulivyosema, kuna wale wanaosikia maneno na kuyafanyia na kugundua kuwa ni upuuzi mtupu na wale ambao wanasikia maneno msikitini ya kisiasa na kuyachukulia kuwa ni ya kweli bila ya kuyafanyia utafiti hata chembe na bila ya kuangalia mhusika anayoyasema maneno hayo kuwa anaweza kuwa anatumiwa pamoja na kwamba yeye ni kiongozi wa kidini. kuna mgombea mmoja wa ubunge wa kinondoni mwaka 1995 anaitwa omar mwaulanga tulikuwa tunaswali msikiti mmoja huko kinondoni karibu na soko la mitumba, akiwa msikitini anasema kuwa wamchague lipumba kuwa rais lakini akiwa mitaani ambapo anajua wakristo na watu wengi wanamuona anawaambia wamchague mrema kuwa Rais kwahiyo unaweza kuona Picha halisi. kinachowaponza wengi ni UVIVU wa kuyafanyia kazi wale wanayoelezwa. Leo hii msimamishe mwislamu anayesema chadema kina udini mwambie akupe FACTS au Evidence ya kuthibitisha maneno yake uone utumbo utakaotoka sana sana utasikia shehe fulani kasema !!!! lakini waislamu walio wengi wanaelewa mbinu nyingi chafu CCM inazozitumia ktk kujinufaisha kisiasa. Lipumba alikuwa tishio mwaka 2005 CCM wakaingia kanisani CUF ni chama cha waislamu, Mwaka 2010 SLAA alikuwa tishio wakaingia msikitini Chadema ni chama cha wakristo. you don't need to be rocket scientist to see through this.

Natamani wale wanaoendekeza udini wote wawe na mtazamo kama huu!
 
Kwa wafanya tadhimini bado tunaendelea kuchambua mambo na kweli suala la ukosefu wa elimu ya uraia na udini ndicho chanzo kukuu cha CHADEMA kushindwa uchaguzi mkuu uliopita. Wemgi waliowaislamu bado wanaamini kuwa Dr bado no Padri na hajui lolote kuhusu taaluma yake nyimgine mbali na upadri. Mi muhimu sana kutoa elimu ya uma na siasa zisizo na mrengo wa kidini ndani yake. Hili ni moja ya mambo CHADEMA wayohitaji kuelimisha umma wa Tanzania kwa sasa.

Mpambanaji.com,

Hivi wewe umemaliza darasa la ngapi?? Nina hakika wewe ni wa ELIMU YA MADRAS! Bisha kama una ubavu!
Maneno yote niliyo yaonyesha kwa RED inaonyesha tu kuwa shule yako ni ya madras. Hufai kuingia kwenye ukumbi huu wa GThinkers maana unapoteza muda wako. Wewe nenda kaswalishe msikitini kwako na kufundisha madras zako ili uzungumze UTUMBO WAKO HUKO na siyo hapa.
 
Kimsingi, siasa za afrika na hasa TZ bado hazijakomaa kidemograsia sana sana ni mbinu na sera chafu ndo zinatuimka na ndo maana leo utasikia udini, kesho utasikia ukabila, keshokutwa utasikia ukanda na mengine mengi kinoma. Lakini ikfikia mahali wananchi wakalijua hili na kuyapuuza maneno ya upotoshaji kama hayo basi tutapiga hatua moja mbele. Hawa wanasiasa wanaotumia mbinu hizi chafu hufanya hivyo kwa makusudi kabisa kwa manufaa yao binafsi na chama kinachoeneza. Naomba Mungu awafumbue wananchi wote waweze kujua mambo haya ili baadae yasije leta machafuko kwa nchi yetu. Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania.
 
Mimi nadhani SLAA ana zaidi hili la udini, manake mimi ningetegemea SLAA kwa vile ni Padre angeendesha siasa za ustaarabu badala yake imekuwa ni kinyume sana. mimi naomba niende mbali kwamba SLAA ana matatizo ya kisaikolojia. Nasema hivyo kwa sababu wakati akiwa mbunge alikuwa na siasa za kistaarabu, lakini baada ya hapo amekuwa na lugha za kashfa, Hasira za kuzira, mchochezi na mengine mengi. Inawezekana kabisa hana uhakika na ajira yake akiwa CHADEMA na hivyo anajaribu kupalilia ajira yake. Hayo ni mawazo yangu.
Na wewe pia ni great thinker!
 
Du kichina nn?alay wakbar!!!!:!!!huo ndo unafk unajfanya muislam kumbe fambaUOTE=Sangarara;2788589]Waislamu tuache unafiki, ubinafsi na Ubaguaji. Mbona Rais Mwinyi alikuwa akiitwa Alhaji na hakuna Mkirsto
aliyewahi kulalamika kwamba tunaongozwa na kiongozi wa uislamu.

Leo kajitokeza Mkirsto ambaye kabobea kwenye mambo ya dini yake tunakimbilia kulalamika kwamba
hatuwezi kuongozwa na Padri achilia mbali kabisa kwamba Huyu mzee hajawahi kuwa na hicho cheo,
haya mambo ndiyo yanayotufanya tuonekane walalamishi na watu tusio na uwezo wa kufanya kitu
chochote kile zaidi ya kujivunia dini yetu.

Naomba tufanye maamuzi yetu katika msingi wa
1. kuondoa utawala ambao unakumbatia rushwa na ufisadi kama ambavyo uislamu unataka.
2. Kuondoa utawala ambao umeshindwa kutuhakikishia watanzania huduma za afya, elimu,
usafiri na miundombinu yake, chakula, mavasi, ulinzi,haki na heshima ya utu.

DR Slaa haendi Ikulu kuanzisha Ufalme wa Mungu wao, hilo liko wazi kwenye kitabu chao kwamba
wanayetegemea aulete ni Yesu Kristo sasa Dini yake sisi inatuhusu nini.

Anakwenda Ikulu kutuongoza kwa Mujibu wa Katiba ya nchi yetu, sisi sote, Makafiri na Waislamu,
ambayo tumekubali kuongozwa chini yake huku tukijua hakika kwamba tunakubali kuongozwa
katika misingi ambayo inawafurahisha hata Makafiri.

Tuache Unafiki. Tupiganie Mahakama yetu ya Kadhi, huo ndio Muongozo wetu wa kweli kabisa
wa uislamu, tupiganie na DR SLAA aingie Ikulu, Japo tufanikiwe kupata futari kwa bei ya chini
na kuila kwenye Mwanga badala ya Giza.

Tubadilike
Alai Wakbar[/QUOTE]
 
Kwa wafanya tadhimini bado tunaendelea kuchambua mambo na kweli suala la ukosefu wa elimu ya uraia na udini ndicho chanzo kukuu cha CHADEMA kushindwa uchaguzi mkuu uliopita. Wemgi waliowaislamu bado wanaamini kuwa Dr bado no Padri na hajui lolote kuhusu taaluma yake nyimgine mbali na upadri. Mi muhimu sana kutoa elimu ya uma na siasa zisizo na mrengo wa kidini ndani yake. Hili ni moja ya mambo CHADEMA wayohitaji kuelimisha umma wa Tanzania kwa sasa.

wanaJF,
huu ni upuuzi. Kama ni tathmini atoe hadharani methodology aliyotumia kufanyia tathmini. Vinginevyo ni kielelezo cha IQ yahmhusika hivyo hastahili kutupotezea muda kwenye jamvi hili la Great minds.
 
Dr. Slaa hakushindwa uchaguzi. Tume holela ya Lews ndo kikwazo.
alishinda urais akiwa na wabunge 22 kati ya 239 wa majimbo? mbona asingeweza kuunda serikali? acheni kujipa moyo uchaguzi 2010 mlichemsha! labda mjipange upya kwa mwaka 3045!
 
Nasikitika sana kwamba watu wamwangalia Dr. Slaa kama individually. Hili ni tatizo, tena kubwa sana.Lakini pia si vema kutazama CDM au CUF kama ndiyo suluhu ya matatizo yetu. We're wrong. Slaa ni binadam kama watu wengine. Siku moja atakuwa amezeeka, au ameamua kuachana na siasa sasa hii hoja ya upadri itakuwa imetusaidia nini. Au CDM kesho na kesho kutwa ikaparaganyika kama vyama ilivyotokea kwa vyama vingine hii hoja ya ukristo au ukanda itakua na mantiki gani? Na, je matatizo yetu yatakuwa yamepata suluhu, mimi naona ni hapana. Ni kama tunajidanganya.

Mimi naamini ndani ya CCM bado tuna watu waadilifu humo, lakini pia si kila mtu kwenye upinzani ni mwadilifu. Hii ni kama ambavyo, si kila muumini anafuata kanuni zote za dini yake, mbona tunao wengi tu ambao mchana ni waumini wazuri lakini usiku ni firauni wa kutupwa. Kifike kipindi watu tujue kwamba hata ndani ya hizi dini zetu wapo viongozi ambao si waumini wa ukweli kama tunavyodhania. Wanaweza kuwapotosha watu kwa kuwalisha mafundisho machafu. Ni vizuri kutathmini haya mafundisho yanayokuelekeza kumwona mbaya jirani yako ambaye miaka yote umekuwa unaishi naye bila shida. Mmekuwa mkishirikiana, watoto wenu wanapenda na wamezoeana sana. Lakini leo hii kiongozi wako wa dini anakwambia huyo jirani yako ni adui yako eti tu dini yenu ni tofauti. Huu si uchuro. Miaka yote hiyo huo uadui ndo umeanza leo.

Nachosema hapa ni kwamba tuache unafiki. Ndiyo najua kila mmoja anapenda kibarua chake, lakini inapokuja hoja ya maslahi ya taifa, hebu tusimame pamoja. Tutetee maslahi yetu. Hebu tuache maslahi ya vyama vyetu jamani. Nijuavyo mimi, wapiga kura wengi si wanachama wa chama chochote. So, kiongozi unapoanza kuweka mbele maslahi ya chama chako unakuwa unawasaliti wapigakura wako. Haya mambo yanajitokeza sana pale bungeni, hili sitaki kusema sana.

Nihitimishe kusema kwamba wananchi wanahitaji maendeleo, wananchi hawamhitaji Slaa kwa kuwa yeye ni muumini mzuri wa dini, wananchi wamevutiwa naye labda ni kwa kuwa ameahidi kuboresha maisha yao. Wananchi wanavutiwa na vyama vya upunzani si tu kwa kuwa kuitwa mpinzani ni sifa fulani. La hasha, wananchi wanavutika huko kwa kudhania kwamba labda ukombozi wao utatokea huko pengine labda hawa ambao wamekuwa wakiwaamini kwa muda wote huo hawaonyeshi kujali matatizo ya wananchi.

Nahisi ni busara kuachana na kukimbizana na wapinzani mabarabarani, badala yake chama kilichopo madarakani kiisimamie serikali itekeleze wajibu wake kwa wananchi. Si rahisi hivyo kumwongoza mwenye njaa, mtu aliyekata tamaa ya kuishi maisha ya kubahatisha katika nchi ambayo ina rasilimani sawa sawa na South Afrika. Kibaya zaidi ni pale ambapo mwananchi mvuja jasho anaposhuhudia maisha anayoishi kiongozi aliyemwahidi maisha bora kwa kila mtu miaka michache iliyopita. Jamani tusimtafute mchawi, ni watu hawawajibiki kwa namna walivyotuahidi.

Sisi tutaishia tu kukabana ktk mambo yasiyo na maana yoyote.
 
Back
Top Bottom