Wife unafanya nini huku? Nikuambie kitu? Mi huwa najiuliza wanaume wenzangu wanapataje muda wa kuwachunguza watoto? Yani badala ya kwenda bar kuongeza pato la serikali kwa kuupiga mtungi we unang'ang'ana kumchungulia mtoto. Ndo maana idadi ya wanaume wanaowamega mabinti zao inazidi kuongezeka. Hebu kam zis way bana unipe bebi boi.....