lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
wengine wanasema hawanywi pombe lakini udhamini wa pombe ruksa!Ni ujinga tuu! mbona fedha za udhamini wamechukua.TFF nao wanawaogopa yanga!
Suala la advert sawa linaendana na ethics za makampuni husika lakini hakuna hata sehemu moja mwanachama wa Simba/Yanga na wengineo wanaweza kukwambia origin ya hizi rangi za klabu zao ilitokana na nini mbali na kuiga kutoka Brazil/Sunderland na upuuzi mwingine kama huo.
Sasa ikifika hatua 'kiongozi' (maana wazee sio viongozi) unasema bora timu ifutwe basi nia yao sio kuendeleza michezo bali uchawi maana wote tunajua michezo ni pesa kwa wakati huu. Na waje waseme kuwa wakiwa na jengo la biashara (kitega uchumi) kuwa hawawezi kumpangisha mpangaji asiye na mapenzi na timu yao au anayeuza vitu vyenye rangi nyekundi!