kama anafanya udikteta kwa maendeleo ya nchi hii ipo poa sisi hatuwezi kufanya hivyo kwa kuwa tunapenda matumbo yetu kuliko nchi yetu watawala wahawataki kuelimisha wananchi kwa kuofia kupokwa machaka yaoRais Kagame amechukua vijana bright wanaotakiwa kuendelea na elimu ya juu na kuwaombea scholarship na wengine kuwalipia elimu ya juu kwenye vyuo maarufu marekani ili baadae waje kuitumikia nchi yao.
Kitendo alichofanya rais Kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya Rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati Rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote
sina tatizo na maelezo yako lakini ningependa nikutaarifu miongoni mwa nchi zenye sera nzuri za afya kwa Afrika Mashariki na kati ni Tanzania, bahati mbaya sera hizi hazijafanyiwa kazi ipasavyo. Mfano wetu bora kabisa ni Community Health Fund (CHF) ambao ni mfuko wa afya ya jamii hasa hasa wilayani na vijijini ambapo sehemu nyingi wanatoza sh 5,000 na zingine sh 10,000 kwa mwaka kwa kaya ya watu 6 ambayo ni very cheap ukilinganisha na hizo dola 16 za kagame na rwanda yake. nina ushahidi wa kina kabisa kwamba zile halmashauri ambako mfuko huu umesimamiwa ipasavyo, wananchi wameweza kupata huduma bora za afya , mfano nenda wilaya za mkoa wa dodoma, nenda igunga, mwanga, handeni etc huku kote CHF imefanya vitu vizuri sana kwenye afya, ila tatizo ni usimamizi mbovu katika utoaji wa huduma za afya kwa ujumla wake nchini.
pia ukumbuke universal health insurance ni jambo gumu sana, kwani hata marekani ni mwaka juzi tu ndio obama ameleta ile bill ya kusaidia masikini kupata unafu wa huduma za afya, so kwa tanzania yetu yenye watu millioni 45 kulinganisha na rwanda yenye watu milioni 9.5 bado si sahihi sana
watanzania wengi ni wajinga,mijini na vijijin wanaitaj elimu ya kujitambua,wanapata matatizo miaka 10 sababu ya kupewa kanga,kofia na kupakiwa kwenye malori,huu ujinga usipoondolewa kwenye akili zetu wadanganyika tutaumia sisi,wajukuu na vitukuu,tuamke sasa
Mjinga unamjua? We si mTZ? Usilalamike na kuita waTZ wajinga huku huna la kufanya. MJINGA ni watu kama wewe ambao wanlaalamika huku hawajui kuwa wao ni WAJINGA na aina yenu ni watu hatari mnaokatisha watu tamaa ya maendeleo kwa ulopokaji wa kijinga kama huu, na mbaya zaidi unaandika USHINDWE NA UJINGA WAKO
sina tatizo na maelezo yako lakini ningependa nikutaarifu miongoni mwa nchi zenye sera nzuri za afya kwa Afrika Mashariki na kati ni Tanzania, bahati mbaya sera hizi hazijafanyiwa kazi ipasavyo. Mfano wetu bora kabisa ni Community Health Fund (CHF) ambao ni mfuko wa afya ya jamii hasa hasa wilayani na vijijini ambapo sehemu nyingi wanatoza sh 5,000 na zingine sh 10,000 kwa mwaka kwa kaya ya watu 6 ambayo ni very cheap ukilinganisha na hizo dola 16 za kagame na rwanda yake. nina ushahidi wa kina kabisa kwamba zile halmashauri ambako mfuko huu umesimamiwa ipasavyo, wananchi wameweza kupata huduma bora za afya , mfano nenda wilaya za mkoa wa dodoma, nenda igunga, mwanga, handeni etc huku kote CHF imefanya vitu vizuri sana kwenye afya, ila tatizo ni usimamizi mbovu katika utoaji wa huduma za afya kwa ujumla wake nchini.
pia ukumbuke universal health insurance ni jambo gumu sana, kwani hata marekani ni mwaka juzi tu ndio obama ameleta ile bill ya kusaidia masikini kupata unafu wa huduma za afya, so kwa tanzania yetu yenye watu millioni 45 kulinganisha na rwanda yenye watu milioni 9.5 bado si sahihi sana
Ni kwa sababu wamepata rais mwenye akili ya kufikiria. Ama sisi tumepata..[/QU
Rais Kagame wa Rwanda ni mtu makini kwasababu he spends some of his time reading the development history of other countries and by doing so he learns what they went through and adopts those techniques to his country's needs. Yeye sio kama Vasco Dagama wetu anakwenda kubembea na kupanda mikokoteni badala ya kwenda kutembelea vyuo vikuu kama mwenzie!! Haya anayofanya Kagame sio mageni bali ni hayo hayo aliyoyafanya Lee Kuan Yew kule Singapore na akaiwezesha ile nchi ndogo kuendelea kwa kiwango cha kutisha!! Huyu ****** wetu hata vitabu hanunui huko anakozurula ;yeye kazi yake kubwa kununua suti na kupiga picha na wasanii basi!! Wadanganyika kweli kazi tunayo!!