rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,184
- 20,144
Rais Kagame amechukua vijana bright wanaotakiwa kuendelea na elimu ya juu na kuwaombea scholarship na wengine kuwalipia elimu ya juu kwenye vyuo maarufu marekani ili baadae waje kuitumikia nchi yao.
Kitendo alichofanya rais Kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya Rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati Rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote
Kitendo alichofanya rais Kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya Rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati Rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote