- Thread starter
- #41
grow up??
huoni unavyorukaruka na kutapatapa? una ushahidi wa Lowassa kuwa fisadi, nani wa kumpeleka mahakamani? JK kama rais anafanya nini kuhusu hili?
mimi siyo CDM mkuu naona unachanganya mafuta na maji, I have never liked CDM but I always hate CCM!
Wewe ni CCM hata useme nini, hoja za JK kuwa ni mwizi ukipewa unafanya nini? mikataba ya madini yote ni JK, SONGAS ni JK ana share mle, IPTL nani aliingia mikataba ile? Richmond au Dowans source ya tatizo ni Lowassa..you must be joking! really , upofu umekupata mkuu kwa penzi lako kwa JK. for more than six years unayesema msafi hajafanya lolote la yeye kuonekana yuko kinyume na ufisadi...meremeta, kagoda, n.k hajaweza kutibu.EPA yeye ndiye chief architect wa maswala yote na Balal yuko hai majuu. Ukitaka ku-prove kuwa EPA ni JK kamuulize mkapa.
am I still young?
You still young upstairs yes! Haishangazi unapokurupuka na kusema Ballali yuko hai majuu na hata kudai kwamba JK alikuwa ni architect wa mambo yaliyotokea akiwa hayupo madarakani. Kutochukua hatua dhidi ya mambo fulani inaitwa indecisiveness lakini hiyo haimaanishi uhusika wa mtu na inaweza isimaanishe kwamba ni incompetence. Yote kwa yote unahitaji kunishawishi kwa ushahidi tena siyo wa kuunga unga kwamba JK anahusika. Hiyo IPTL na hiyo Songas ulizozirukia hata hujui tatizo ni nini na laiti ungejua undani wake usingekurupuka.