Hili la mtihani wa kidato cha pili Serikali imechemka

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,732
5,931
Hata kama ni kubana matumizi lakini kwa Hapa nasema wazi kuwa this is too much!

Kwamba mtihani huu hautakuwa wa mchujo tena na wote watakwenda kidato cha tatu HAKUNA KUFELI* Kwa hili niseme mama Ndalichako umepitiwa hivi ile juhudi yako kweli imeishia Hapa? tayari mama na wewe umekuwa mwanasiasa? kufurahisha mass? hivi nani aisyejua umuhimu Wa mtihani Wa kidato cha pili? kwanini mtihani huu muufute kijanja? kwa kusema eti utaandaliwa na Wizara lakini shule itatumiwa nakala moja moja watoe kopi wenyewe wasimamie wenyewe...watoe matokeo wenyewe!!

Kwa Hapa serikali yangu ya Hapa kazi tu mmechemka.. Msema kweli ni mpenzi Wa Mungu!!
 
Nilikuwa nampenda hyu mama sa iv nimekosa matumaini naye naye amegeuka mtu wa matamko mpaka bhass yaani bora alivyokuwa Dr kuliko now Prof cjamuelewa kabisa
 
kama iko hivi wachawi hawa au wamerogwa si waseme tu serikali haina hela ???kwani dhambi wasitufanye wajinga wanaochagua ccm hawajielewi
 
Hata kama ni kubana matumizi lakini kwa Hapa nasema wazi kuwa this is too much!

Kwamba mtihani huu hautakuwa wa mchujo tena na wote watakwenda kidato cha tatu HAKUNA KUFELI* Kwa hili niseme mama Ndalichako umepitiwa hivi ile juhudi yako kweli imeishia Hapa? tayari mama na wewe umekuwa mwanasiasa? kufurahisha mass? hivi nani aisyejua umuhimu Wa mtihani Wa kidato cha pili? kwanini mtihani huu muufute kijanja? kwa kusema eti utaandaliwa na Wizara lakini shule itatumiwa nakala moja moja watoe kopi wenyewe wasimamie wenyewe...watoe matokeo wenyewe!!

Kwa Hapa serikali yangu ya Hapa kazi tu mmechemka.. Msema kweli ni mpenzi Wa Mungu!!

usiende kwa hisia toa ushahid kwamba mtihan wa form two hauna mchujo.....mtihan wa form two una mchujo kama kawa ila kwa sasa hawaangalii tena
wastani ila mwanafunz akipta D2 anavuka... that is it..
 
Nchi hii kwa maigizo iache ilivyo, usishangae kuna watoto wa watu fulani ndiyo wanapitishwa hivyo, baada ya hapo paper inarejea kama kawa
 
Mimi Nina uhakika na nilichopost ni kweli kabisa uliza kwa headmaster/headmistress yeyote uliye karibu nae
 
Hata kama ni kubana matumizi lakini kwa Hapa nasema wazi kuwa this is too much!

Kwamba mtihani huu hautakuwa wa mchujo tena na wote watakwenda kidato cha tatu HAKUNA KUFELI* Kwa hili niseme mama Ndalichako umepitiwa hivi ile juhudi yako kweli imeishia Hapa? tayari mama na wewe umekuwa mwanasiasa? kufurahisha mass? hivi nani aisyejua umuhimu Wa mtihani Wa kidato cha pili? kwanini mtihani huu muufute kijanja? kwa kusema eti utaandaliwa na Wizara lakini shule itatumiwa nakala moja moja watoe kopi wenyewe wasimamie wenyewe...watoe matokeo wenyewe!!

Kwa Hapa serikali yangu ya Hapa kazi tu mmechemka.. Msema kweli ni mpenzi Wa Mungu!!

kila mwanafunzi kachangiswa 41,000tsh sijui ya nini? huu ufisadi wawazi kabisa

haya wakubwa
 
Na hizo ni dalili za kuzidiwa na mambo. mnao sadiki kuwa viwanda vitajengwa , subirini mtapata jibu muda siyo mrefu.Hakuna viwanda wala elimu bora, ni elimu ilimradi mtoto anajua kusoma na kuandika.
 
Elimu ya o_level ni elimu ya msingi kwa sasa, hivyo mtoto akianza kidato cha 1 ni hadi kidato cha4 ndio anachujwa, hawatakiwi kuchujwa kidato cha2.
Hii ndio Tanzania yetu.
 
Nilikuwa nampenda hyu mama sa iv nimekosa matumaini naye naye amegeuka mtu wa matamko mpaka bhass yaani bora alivyokuwa Dr kuliko now Prof cjamuelewa kabisa
hujui kitu, mtaala umeuona weye? mtaala hautaki mambo hayo, kwani mitihani akili yako ndio ubora wa elimu?
 
Hapa ndipo nashangazwa na hawa watu wanaofanya mambo kupitia mihemko ama ya kutaka kujionyesha kana kwamba ni watendaji au watumwaji, then tunaambiwa watasoma masomo yote mpqka four, sitashangazwa wakivunja rekodi ya 2012, sasa itakuwa ufaulu UMEDONDOKA kwa asilimia 90. Let wait.
 
Nadhani ni mkakati' wa kuwaandaa wa Tz kuwa wabeba mizigo kwenye hivyo viwanda , yani na utafiti alioufanya profesa aliona hii njia ndo yakuongeza kiwango cha elimu napata Shida kuwaelewa baadhi ya maprofesa wa bongoland
 
Back
Top Bottom