Kitaja
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 2,836
- 1,383
Habari zenu wadau wa JF,
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu changa japo lina umri wa miaka zaidi ya 56 tangu lizaliwe Desemba 1961.
Baada ya salaam hizo ningependa kujikita katika mada tajwa hapo juu. Hivi sasa kumekuwa na sintofahamu inayoendelea katika mifuko ya jamii hasa NSSF na PPF mifuko yenye wachangiaji wengi nchini. Hii mifuko imekuwa kero kuliko hata kero yenyewe.
Kwa mfano NSSF hawataki kutoa mafao ya watu walioachishwa kazi na wala si mapenzi yao kuacha kazi bali wameachishwa kwa lazima. mnapokatalia mafao yake mnatagemea huyo mtu ataishije ili hali ajira nchini ni finyu sana? Kuna ndugu yangu ameachishwa kazi tangu desemba mwaka jana alikuwa akichangia NSSF, alipoenda kudai mafao ya kujitoa wakamwambia asubiri miezi 6. Baada ya miezi sita ameambiwa tena asubiri meizi miwili. Hiyo miezi miwili imesisha bado anasumbuliwa. Hivi haya manyanyaso wanayofanyiwa watanzania maskini, CCM inajua kuwa ndio kitanzi chale mwaka 2020?
Wabunge wanaelewa kuwa kwa kunyamaza kwao kimya hawatendei haki wananchi wao? Hivi hawa wabunge wanatambua kuwa yeyote atakaye lisimamia hili sula la mafao ya kujitoa atakuwa ni shujaa wa taifa? mbona mnashupalia vitu vingine visivyo na umuhimu mnaacha hili linalogusa watu wengi tena wengi wao maskini? Acacia wamepunguza wafanyakazi, makampuni mengi na serikali yenyewe wanapunguza wafanyakazi, hivi mandhani wanaishi vipi? Mtasema CCM haihusiki? wengi wanjaua kuwa watendaji hufuata maelekezo ya watawala.
Come 2020!
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu changa japo lina umri wa miaka zaidi ya 56 tangu lizaliwe Desemba 1961.
Baada ya salaam hizo ningependa kujikita katika mada tajwa hapo juu. Hivi sasa kumekuwa na sintofahamu inayoendelea katika mifuko ya jamii hasa NSSF na PPF mifuko yenye wachangiaji wengi nchini. Hii mifuko imekuwa kero kuliko hata kero yenyewe.
Kwa mfano NSSF hawataki kutoa mafao ya watu walioachishwa kazi na wala si mapenzi yao kuacha kazi bali wameachishwa kwa lazima. mnapokatalia mafao yake mnatagemea huyo mtu ataishije ili hali ajira nchini ni finyu sana? Kuna ndugu yangu ameachishwa kazi tangu desemba mwaka jana alikuwa akichangia NSSF, alipoenda kudai mafao ya kujitoa wakamwambia asubiri miezi 6. Baada ya miezi sita ameambiwa tena asubiri meizi miwili. Hiyo miezi miwili imesisha bado anasumbuliwa. Hivi haya manyanyaso wanayofanyiwa watanzania maskini, CCM inajua kuwa ndio kitanzi chale mwaka 2020?
Wabunge wanaelewa kuwa kwa kunyamaza kwao kimya hawatendei haki wananchi wao? Hivi hawa wabunge wanatambua kuwa yeyote atakaye lisimamia hili sula la mafao ya kujitoa atakuwa ni shujaa wa taifa? mbona mnashupalia vitu vingine visivyo na umuhimu mnaacha hili linalogusa watu wengi tena wengi wao maskini? Acacia wamepunguza wafanyakazi, makampuni mengi na serikali yenyewe wanapunguza wafanyakazi, hivi mandhani wanaishi vipi? Mtasema CCM haihusiki? wengi wanjaua kuwa watendaji hufuata maelekezo ya watawala.
Come 2020!