Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Wakuu,
Kama kuna jambo linalonikera mjengoni wakati wa kikao cha bajeti ni pale mawaziri wanapoamua kutaja majina ya wabunge mmoja mmoja waliochangia hoja yake. Mawaziri takribani nusu ya muda aliopewa kutaja majina ya wabunge na muda mfupi unaobaki eti ndiyo anajibu hoja zao. Tafadhali wajuzi watuelimishe hapa, hivi kweli tabia hiyo ina maana yoyote? Mimi naona kama ni kupoteza muda tu.
Kama kuna jambo linalonikera mjengoni wakati wa kikao cha bajeti ni pale mawaziri wanapoamua kutaja majina ya wabunge mmoja mmoja waliochangia hoja yake. Mawaziri takribani nusu ya muda aliopewa kutaja majina ya wabunge na muda mfupi unaobaki eti ndiyo anajibu hoja zao. Tafadhali wajuzi watuelimishe hapa, hivi kweli tabia hiyo ina maana yoyote? Mimi naona kama ni kupoteza muda tu.