sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,664
Jana Mh JPM baada ya kukabidhiwa kijiti na kuwa mwenyekiti mpya CCM alizugumza mengi.
Kwangu lipo moja ambalo nilidhani hata vyama vya upinzani wamekuwa wakilipigia kelele. Ni juu ya matumizi ya watoto kwenye siasa kwa kigezo cha kuwaita chipukizi.
JPM jana made cristal clear kwamba wale watoto waachwe wasome. Hatotaka kuona mtoto eti wa miaka nane anaingizwa kwenye hekaheka za siasa.
Kama kila chama kikianza utaratibu huo hao watoto watasoma kweli.
Vyama vya upinzani muungeni mkono Magufuli japo hili mliloliasisi nyie yeye katekeleza.
Kwangu lipo moja ambalo nilidhani hata vyama vya upinzani wamekuwa wakilipigia kelele. Ni juu ya matumizi ya watoto kwenye siasa kwa kigezo cha kuwaita chipukizi.
JPM jana made cristal clear kwamba wale watoto waachwe wasome. Hatotaka kuona mtoto eti wa miaka nane anaingizwa kwenye hekaheka za siasa.
Kama kila chama kikianza utaratibu huo hao watoto watasoma kweli.
Vyama vya upinzani muungeni mkono Magufuli japo hili mliloliasisi nyie yeye katekeleza.