Hili la Kikwete kwa Baba wa Taifa na kwa Rais Magufuli ni by coincidence au kiburi tu?

Mgombea uenyekiti wa sisiemu hana mpinzani baada ya wanachama kupigwa mkwara kuwa atakayejitokeza kumpinga atafukuzwa uanachama! Imekaaje hiyo?
Wanawaiga chadema , ndugu Lowasa alikuwa mgombea pekee wa urais huku akiwa na uanachama wa siku mbili ndani ya Chadema.,mpaka anagombea urais alikuwa hajawahi kuiona katiba ya chadema na wala Sera ya chadema alikuwa haifahamu.
 
Lile wimbi la Wabunge kuwakashifu Waasisi wakati ule wa Katiba Mpya lilianzishwa na Kikwete. Lakini mwache Rais Mstaafu apumzike Katika kuagana salama na watu wanaoondoka,ndipo mnabakia salama.
aliwatuma kina Tundu Lissu? usipofafanua wengine hatutakuelewa
 
Matola

Hiyo post ya juu nimekufahamisha kuhusu "baba".

Kuhusu hilo la "ndugu" kwa Magufuli, nadhani wewe ndiyo huielewi nchi hii ilikotoka. Ungekuwa unaielewa ungeelewa kuwa wakati wa Nyerere ilikuwa si sahihi kuitana vingine zaidi ya ndugu.

Fahamu kuwa hilo lilikuja wakati Nyerere anaijaribu siasa yake ya ujamaa na kujitegemea na ukiisoma vizuri katiba ya CCM utakuta kuwa mrengo wetu bado ni wa ujamaa na kujitegemea. Kwa hiyo wana CCM kuitana ndugu haitupi shida kabisa na ni heshima ki chama.
heshima wapi?
 
Kikwete yuko sahihi kwa 100% ... Mambo ya Mtakatifu Julius sijui John Kadinali nani pelekeni kulee ....

Wana jukwaa,

Kuna tabia moja sugu na ya muda mrefu nimeigunduwa kutoka kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete,

Imekuwa ni kawaida kiitifaki kila mtu mwenye nafasi fulani huanza kuitwa kwaile tittle yake hasa wakati mtu anayemtamka mwenzake akiwa ni mtu wa itifaki,

Lakini kwa Rais mstaafu kwa sababu ni mtu wa pwani basi amekuwa na figisu zake za kimyakimya kuonesha kiburi na dharau kwa wengine bila wengi kumgunduwa.

Kwa mfano sidhani kama kuna siku huyu Rais mstaafu aliwahi kumtamka Baba wa Taifa kwa title yake, mara nyingi au zote umtamka kama Mzee Nyerere.

Kilichonisukuma kuandika thread hii leo tena kwenye kikao cha Nec nimemsikia akimwita Rais Magufuri kwa jina la ndugu Rais badala ya mheshimiwa Rais.

Kwa mtu asiyeijuwa vizuri nchi hii ilikotoka hawezi kuelewa mantiki ya thread hii ila kwa waelewa nachokoza mada tu je Kikwete anajuwa vyema na anamaanisha anachokitamka au Coincidence tu?

Kwa wale wanaodandiaga tu mada nakuanza kuharisha bila kuelewa content ni kwamba turudi enzi zetu ambapo kiongozi aliitwa ndugu na siyo mtukufu wala mheshimiwa?
 
Wana jukwaa,

Kuna tabia moja sugu na ya muda mrefu nimeigunduwa kutoka kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete,

Imekuwa ni kawaida kiitifaki kila mtu mwenye nafasi fulani huanza kuitwa kwaile tittle yake hasa wakati mtu anayemtamka mwenzake akiwa ni mtu wa itifaki,

Lakini kwa Rais mstaafu kwa sababu ni mtu wa pwani basi amekuwa na figisu zake za kimyakimya kuonesha kiburi na dharau kwa wengine bila wengi kumgunduwa.

Kwa mfano sidhani kama kuna siku huyu Rais mstaafu aliwahi kumtamka Baba wa Taifa kwa title yake, mara nyingi au zote umtamka kama Mzee Nyerere.

Kilichonisukuma kuandika thread hii leo tena kwenye kikao cha Nec nimemsikia akimwita Rais Magufuri kwa jina la ndugu Rais badala ya mheshimiwa Rais.

Kwa mtu asiyeijuwa vizuri nchi hii ilikotoka hawezi kuelewa mantiki ya thread hii ila kwa waelewa nachokoza mada tu je Kikwete anajuwa vyema na anamaanisha anachokitamka au Coincidence tu?

Kwa wale wanaodandiaga tu mada nakuanza kuharisha bila kuelewa content ni kwamba turudi enzi zetu ambapo kiongozi aliitwa ndugu na siyo mtukufu wala mheshimiwa?
Dah... Naona Kama umeanza kwa kuharisha mwenyewe
 
Sasa mkwa mfano akiitwa mheshimiwa au baba Mleta mda utapata faida gani?
Kinachoongelewa hapa na mtoa mada ni protocol ambazo zimewekwa na serikali hiyohiyo mambo ya faida sijui hasara hayamuhusu kinyume chake useme protocol hazina maana kwa mtazamo wako kwani hazileti faida.
 
Hii mada imenikumbusha Yule Mbunge sijui ni mbozi Mh. Silinde na Naibu Spika Tulia... Silinde hukumuuita Mh. Naibu Spika... Alianza na ndugu.... Naibu Spika alimjia juu kweli Silinde..... Itifaki izangatiwe..... Kwa upande wa Jk inaonesha kabisa jamaa hadi leo hajafurahia kabisa Kwa Joseph kuwa Rais.... Lakini ndo hivyo hatuna namna inatakiwa tumuite Mh. Rais... . Ndo ashakuwa Rais sasa..
 
Kinachoongelewa hapa na mtoa mada ni protocol ambazo zimewekwa na serikali hiyohiyo mambo ya faida sijui hasara hayamuhusu kinyume chake useme protocol hazina maana kwa mtazamo wako kwani hazileti faida.
Nafarijika sana ninapoona JF bado kuna vichwa critical thinkers ambao hufikiri kabla ya kuandika na siyo kuandika halafu ndio unafikiri.

Salute kwako mkuu, umeilewa mada iliyopo mezani mia kwa mia, nothing less nothing more.
 
aliwatuma kina Tundu Lissu? usipofafanua wengine hatutakuelewa
Tundu Lissu ana matatizo yake tofauti! Yeye ugomvi wake na Baba wa Taifa naona umetokana na yeye Tundu akiwa mdogo kushuhudia kadhia iliyotokana na kuanzishwa kwa Vijiji vya Ujamaa wakati ule. Kama tujuavyo 'mtoto umleavyo ndivyo akuavyo' kwa maana hiyo si kosa la Tundu kumchukia Baba wa Taifa kihivyo. Kimombo wanasema he is a victim of circumstances! Kama ilivyo kwa wengine wote walio na chuki na Baba wa Taifa kwa namna moja ama nyingine waliathirika na hatua alizokuwa akichukua Baba wa Taifa kwa manufaa mapana ya wananchi. Haingii akilini kuona wapo wa aina hiyo wasiomthamini na wasioona yote aliyofanya Mwalimu JK Nyerere kwa taifa kustahili kuwa Baba wa Taifa. Hadi leo asilimia kubwa ya Watanzania wakubwa kwa wadogo walioshuhudia uongozi wa Mwalimu Nyerere na waliozaliwa baada ya yeye kustaafu na hata wanaozaliwa baada ya kifo chake wanaikubali kazi aliyoifanya kwa taifa letu. Hao wachache wanaomchukia na kutoona ama kuthamini kazi iliyofanyika inabidi wajitafakari.
 
Back
Top Bottom