Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
wezi wote hawawezi k uachwa....popote pale walipoMwacheni Kikwete apumzike. Sasa runa Rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM ni Magufuli
wezi wote hawawezi k uachwa....popote pale walipoMwacheni Kikwete apumzike. Sasa runa Rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM ni Magufuli
Tatizo lako una mihemko na kiherehere, unakurupuka tu without know how, hichi ulichokiandika una uhakika mimi sijakiandika kabla yako kwenye uzi huu?
Hii ndio shida ya ujuwaji mwingi, mtu akianza kusoma post ya kwa mpaka hii atashindwa hata kukushanga!!
Mental case!Nnaona yamekuingia na hauna zaidi.
Nyererephobia at her level best of hatred, nikikuletea hapa ushaidi wa Video clip Mzee Kikwete akimuita Pengo Baba Askofu na Sheikh akimuita Askofu kwa kuanza na neno baba Askofu, unaliahidi nini jukwaa hili hili tukate mzizi wa fitna na nikuumbuwe hapa dhahiri shairi?
Indeed it is. I'm sure you are, you don't have to mention it.Mental case!
Hana kazi!?Nadhani mimi na wewe wote hatuna kazi ndio maana tupo kwenye thread hii.
Mwerevu thread ya kipuuzi huwa anaskip tu for good.
Mbona amekujibu vyema mkuuTatizo lako una mihemko na kiherehere, unakurupuka tu without know how, hichi ulichokiandika una uhakika mimi sijakiandika kabla yako kwenye uzi huu?
Hii ndio shida ya ujuwaji mwingi, mtu akianza kusoma post ya kwa mpaka hii atashindwa hata kukushanga!!
Wanaume wakiandika uzi siyo unakuja kudandiadandia....utakuja umiaaa aiseMwacheni Kikwete apumzike. Sasa runa Rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM ni Magufuli
Ha ha haHana kazi!?
Hujui kuwa jioni akijikunja pale Lumumba ana buku 2?
Hahahaaaaa! UmeuaaaHey man nafikiri utakuwa una matatizo ya constipation ningekushauri ule kabichi na vyakula vya kamba kamba kwa wingi, kwa maana hii siyo kawaida!