Hili la Kikwete kwa Baba wa Taifa na kwa Rais Magufuli ni by coincidence au kiburi tu?

Wana jukwaa,

Kuna tabia moja sugu na ya muda mrefu nimeigunduwa kutoka kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete,

Imekuwa ni kawaida kiitifaki kila mtu mwenye nafasi fulani huanza kuitwa kwaile tittle yake hasa wakati mtu anayemtamka mwenzake akiwa ni mtu wa itifaki,

Lakini kwa Rais mstaafu kwa sababu ni mtu wa pwani basi amekuwa na figisu zake za kimyakimya kuonesha kiburi na dharau kwa wengine bila wengi kumgunduwa.

Kwa mfano sidhani kama kuna siku huyu Rais mstaafu aliwahi kumtamka Baba wa Taifa kwa title yake, mara nyingi au zote umtamka kama Mzee Nyerere.

Kilichonisukuma kuandika thread hii leo tena kwenye kikao cha Nec nimemsikia akimwita Rais Magufuri kwa jina la ndugu Rais badala ya mheshimiwa Rais.

Kwa mtu asiyeijuwa vizuri nchi hii ilikotoka hawezi kuelewa mantiki ya thread hii ila kwa waelewa nachokoza mada tu je Kikwete anajuwa vyema na anamaanisha anachokitamka au Coincidence tu?

Kwa wale wanaodandiaga tu mada nakuanza kuharisha bila kuelewa content ni kwamba turudi enzi zetu ambapo kiongozi aliitwa ndugu na siyo mtukufu wala mheshimiwa?
Mimi nimemsikia akimuita Mh Rais labda wewe una tv yako! Lakini hata hivyo kuna shida gani hapo?
 
Kwa mara ya kwanza tokea niwe Member humu JF ndiyo nimeona leo umeanzisha UZI. Na nahisi pengine huu UZI ulianza kuuandika tokea mwaka jana na umekamilika leo Mkuu au? Hongera sana na sasa UNAKOMAA Kijana na kuwa Great Thinker wa ukweli.

Ngoja nirudie tena kusoma huu UZI wako kwani ni mtamu sana.
JF rahaaa sana umesabisha nicheke mwenyewe, kwamba Uzi alianza kuuandika mwaka Jana kapost Leo haaaaaaaa
 
Tad
Nimeshatoa tahadhari kabla ya kuharisha ujuwe mjadala unatarget nini? Hili si la ushabiki wa vyama nakuomba ukae pembeni au nenda kwenye thread zingine.
Tahadhari gani wakati umeleta pumba tu, yani umekaa umetafuta cha kuandika ndio umeona hilo. Ungejadili CCM chini ya Magufuli na mfano wa hayo.
 
Wana jukwaa,

Kuna tabia moja sugu na ya muda mrefu nimeigunduwa kutoka kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete,

Imekuwa ni kawaida kiitifaki kila mtu mwenye nafasi fulani huanza kuitwa kwaile tittle yake hasa wakati mtu anayemtamka mwenzake akiwa ni mtu wa itifaki,

Lakini kwa Rais mstaafu kwa sababu ni mtu wa pwani basi amekuwa na figisu zake za kimyakimya kuonesha kiburi na dharau kwa wengine bila wengi kumgunduwa.

Kwa mfano sidhani kama kuna siku huyu Rais mstaafu aliwahi kumtamka Baba wa Taifa kwa title yake, mara nyingi au zote umtamka kama Mzee Nyerere.

Kilichonisukuma kuandika thread hii leo tena kwenye kikao cha Nec nimemsikia akimwita Rais Magufuri kwa jina la ndugu Rais badala ya mheshimiwa Rais.

Kwa mtu asiyeijuwa vizuri nchi hii ilikotoka hawezi kuelewa mantiki ya thread hii ila kwa waelewa nachokoza mada tu je Kikwete anajuwa vyema na anamaanisha anachokitamka au Coincidence tu?

Kwa wale wanaodandiaga tu mada nakuanza kuharisha bila kuelewa content ni kwamba turudi enzi zetu ambapo kiongozi aliitwa ndugu na siyo mtukufu wala mheshimiwa?

Mbona Unahangaika na vitu vidogovidogo sana visivyokuwa na tija man?! As long as hajamtukana au kuacha kumtaja na kamuita Ndugu Rais inatosha kiitifaki, wacha uchochezi weye!
 
Wana jukwaa,

Kuna tabia moja sugu na ya muda mrefu nimeigunduwa kutoka kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete,

Imekuwa ni kawaida kiitifaki kila mtu mwenye nafasi fulani huanza kuitwa kwaile tittle yake hasa wakati mtu anayemtamka mwenzake akiwa ni mtu wa itifaki,

Lakini kwa Rais mstaafu kwa sababu ni mtu wa pwani basi amekuwa na figisu zake za kimyakimya kuonesha kiburi na dharau kwa wengine bila wengi kumgunduwa.

Kwa mfano sidhani kama kuna siku huyu Rais mstaafu aliwahi kumtamka Baba wa Taifa kwa title yake, mara nyingi au zote umtamka kama Mzee Nyerere.

Kilichonisukuma kuandika thread hii leo tena kwenye kikao cha Nec nimemsikia akimwita Rais Magufuri kwa jina la ndugu Rais badala ya mheshimiwa Rais.

Kwa mtu asiyeijuwa vizuri nchi hii ilikotoka hawezi kuelewa mantiki ya thread hii ila kwa waelewa nachokoza mada tu je Kikwete anajuwa vyema na anamaanisha anachokitamka au Coincidence tu?

Kwa wale wanaodandiaga tu mada nakuanza kuharisha bila kuelewa content ni kwamba turudi enzi zetu ambapo kiongozi aliitwa ndugu na siyo mtukufu wala mheshimiwa?

= Magufuli

Kwanza kabisa napenda uelewe kuwa kumbadili mtu jina na kumwita au kumwandika jina lake ndivyo sivyo ni kumkosea adabu na kuonesha dharau ya hali ya juu kwa huyo mtu.

Cha kushangaza, jina la Rais wetu ni Magufuli, kutwa kucha tunalisoma, yupo kwenye vyombo vyote vya habari vya ndani ya nchi na vingi vya kimataifa vinamwandika vilivyo.

Vipi wewe kinyangarakata kumkosea heshima na kumwandika jina lake ndivyo sivyo?

Kuhusu "ubaba" wa Nyerere, "title" hiyo kwa Waislam si vyema kuitumia. Natumai na Kikwete analifahamu hilo.

Waislam hata kipenzi chetu mtume Muhammad swala Allahu Alayhi Wasalam tunaamrishwa kwenye Qur'an kuwa si baba wa yeyote, ushahidi huu hapa:

Qur'an 33:40
Muhammad is not the father of [any] one of your men, but [he is] the Messenger of Allah and last of the prophets. And ever is Allah , of all things, Knowing.


Hivyo vyeo vya ubaba ni vya Kikristo, sisi havituhusu, mtatusamehe sana kwa hilo. Inapaswa mheshimu mafundisho yetu ingawa mnajidai kuwa serikali haina dini. Sisi tuna dini, tukiwa au tusiwe serikalini.

Baba Mtakatifu, baba askofu, padri (baba), mpaka baba Mungu mnae nyinyi.

Kila mwanamme aingiae majumbani kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko"! Sasa tena mnataka kulazimisha " baba wa taifa"?

Eboo! Mnamababa wangapi nyie?

Sisi huko hamtupeleki. Baba kwetu ni mmoja tu, aliyekuzaa. Title hiyo hatuwezi kumwita mwengine yeyote. Kwa heshima wengine tunawaita "wazee wetu".
 
Matola

Hiyo post ya juu nimekufahamisha kuhusu "baba".

Kuhusu hilo la "ndugu" kwa Magufuli, nadhani wewe ndiyo huielewi nchi hii ilikotoka. Ungekuwa unaielewa ungeelewa kuwa wakati wa Nyerere ilikuwa si sahihi kuitana vingine zaidi ya ndugu.

Fahamu kuwa hilo lilikuja wakati Nyerere anaijaribu siasa yake ya ujamaa na kujitegemea na ukiisoma vizuri katiba ya CCM utakuta kuwa mrengo wetu bado ni wa ujamaa na kujitegemea. Kwa hiyo wana CCM kuitana ndugu haitupi shida kabisa na ni heshima ki chama.
 
Mbona Unahangaika na vitu vidogovidogo sana visivyokuwa na tija man?! As long as hajamtukana au kuacha kumtaja na kamuita Ndugu Rais inatosha kiitifaki, wacha uchochezi weye!
Kwakweli Watanzania tunapaswa kuipongeza TCU kwa kuongeza viwango vya sifa za kujiunga elimu ya juu.

Haya ndio madhara ya nchi kuzalisha wasomi fake, huelewi hata mada imejikita kwenye mjadala gani, na kwa sababu wewe ni dogo hujui kabisa kwamba watanzania hapo zamani tulikuwa tukiitana ndugu fulani na siyo mheshimiwa.

Ndio maana yule Afrikast wa Kirwanda kutoka Gisenyi anawaita mapopoma poor IQ.
 
Matola

Hiyo post ya juu nimekufahamisha kuhusu "baba".

Kuhusu hilo la "ndugu" kwa Magufuli, nadhani wewe ndiyo huielewi nchi hii ilikotoka. Ungekuwa unaielewa ungeelewa kuwa wakati wa Nyerere ilikuwa si sahihi kuitana vingine zaidi ya ndugu.

Fahamu kuwa hilo lilikuja wakati Nyerere anaijaribu siasa yake ya ujamaa na kujitegemea na ukiisoma vizuri katiba ya CCM utakuta kuwa mrengo wetu bado ni wa ujamaa na kujitegemea. Kwa hiyo wana CCM kuitana ndugu haitupi shida kabisa na ni heshima ki chama.
Tatizo lako una mihemko na kiherehere, unakurupuka tu without know how, hichi ulichokiandika una uhakika mimi sijakiandika kabla yako kwenye uzi huu?

Hii ndio shida ya ujuwaji mwingi, mtu akianza kusoma post ya kwa mpaka hii atashindwa hata kukushanga!!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wana jukwaa,

Kuna tabia moja sugu na ya muda mrefu nimeigunduwa kutoka kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete,

Imekuwa ni kawaida kiitifaki kila mtu mwenye nafasi fulani huanza kuitwa kwaile tittle yake hasa wakati mtu anayemtamka mwenzake akiwa ni mtu wa itifaki,

Lakini kwa Rais mstaafu kwa sababu ni mtu wa pwani basi amekuwa na figisu zake za kimyakimya kuonesha kiburi na dharau kwa wengine bila wengi kumgunduwa.

Kwa mfano sidhani kama kuna siku huyu Rais mstaafu aliwahi kumtamka Baba wa Taifa kwa title yake, mara nyingi au zote umtamka kama Mzee Nyerere.

Kilichonisukuma kuandika thread hii leo tena kwenye kikao cha Nec nimemsikia akimwita Rais Magufuri kwa jina la ndugu Rais badala ya mheshimiwa Rais.

Kwa mtu asiyeijuwa vizuri nchi hii ilikotoka hawezi kuelewa mantiki ya thread hii ila kwa waelewa nachokoza mada tu je Kikwete anajuwa vyema na anamaanisha anachokitamka au Coincidence tu?

Kwa wale wanaodandiaga tu mada nakuanza kuharisha bila kuelewa content ni kwamba turudi enzi zetu ambapo kiongozi aliitwa ndugu na siyo mtukufu wala mheshimiwa?
RAISI MAGUFURI--: Rais Magufuli
 
= Magufuli

Kwanza kabisa napenda uelewe kuwa kumbadili mtu jina na kumwita au kumwandika jina lake ndivyo sivyo ni kumkosea adabu na kuonesha dharau ya hali ya juu kwa huyo mtu.

Cha kushangaza, jina la Rais wetu ni Magufuli, kutwa kucha tunalisoma, yupo kwenye vyombo vyote vya habari vya ndani ya nchi na vingi vya kimataifa vinamwandika vilivyo.

Vipi wewe kinyangarakata kumkosea heshima na kumwandika jina lake ndivyo sivyo?

Kuhusu "ubaba" wa Nyerere, "title" kwa Waislam si vyema kuitumia. Natumai na Kikwete analifahamu hilo.

Waislam hata kipenzi chetu mtume Muhammad swala Allahu Alayhi Wasalam tunaamrishwa kwenye Qur'an kuwa si baba wa yeyote, ushahidi huu hapa:

Qur'an 33:40
Muhammad is not the father of [any] one of your men, but [he is] the Messenger of Allah and last of the prophets. And ever is Allah , of all things, Knowing.


Hivyo vyeo vya ubaba ni vya Kikristo, sisi havituhusu mtatusamehe sana kwa hilo. Inapaswa mheshimu mafundisho yetu ingawa mnajidai kuwa serikali haina dini. Sisi tuna dini, tukiwa au tusiwe serikalini.

Baba Mtakatifu, baba askofu, padri (baba), mpaka baba Mungu mnae nyinyi.

Kila mwanamme aingiae majumbani kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko"! Sasa tena mnataka kulazimisha " baba wa taifa"?

Eboo! Mnamababa wa ngapi nyie?

Sisi huko hamtupeleki. Baba kwetu ni mmoja tu, aliyekuzaa. Title hiyo hatuwezi kumwita mwengine yeyote. Kwa heshima wengine tunawaita "wazee wetu".
Nyererephobia at her level best of hatred, nikikuletea hapa ushaidi wa Video clip Mzee Kikwete akimuita Pengo Baba Askofu na Sheikh akimuita Askofu kwa kuanza na neno baba Askofu, unaliahidi nini jukwaa hili hili tukate mzizi wa fitna na nikuumbuwe hapa dhahiri shairi?
 
Kwakweli Watanzania tunapaswa kuipongeza TCU kwa kuongeza viwango vya sifa za kujiunga elimu ya juu.

Haya ndio madhara ya nchi kuzalisha wasomi fake, huelewi hata mada imejikita kwenye mjadala gani, na kwa sababu wewe ni dogo hujui kabisa kwamba watanzania hapo zamani tulikuwa tukiitana ndugu fulani na siyo mheshimiwa.

Ndio maana yule Afrikast wa Kirwanda kutoka Gisenyi anawaita mapopoma poor IQ.


Ngachoka kabisa, sijakuelewa mkuu?!
 
= Magufuli

Kwanza kabisa napenda uelewe kuwa kumbadili mtu jina na kumwita au kumwandika jina lake ndivyo sivyo ni kumkosea adabu na kuonesha dharau ya hali ya juu kwa huyo mtu.

Cha kushangaza, jina la Rais wetu ni Magufuli, kutwa kucha tunalisoma, yupo kwenye vyombo vyote vya habari vya ndani ya nchi na vingi vya kimataifa vinamwandika vilivyo.

Vipi wewe kinyangarakata kumkosea heshima na kumwandika jina lake ndivyo sivyo?

Kuhusu "ubaba" wa Nyerere, "title" kwa Waislam si vyema kuitumia. Natumai na Kikwete analifahamu hilo.

Waislam hata kipenzi chetu mtume Muhammad swala Allahu Alayhi Wasalam tunaamrishwa kwenye Qur'an kuwa si baba wa yeyote, ushahidi huu hapa:

Qur'an 33:40
Muhammad is not the father of [any] one of your men, but [he is] the Messenger of Allah and last of the prophets. And ever is Allah , of all things, Knowing.


Hivyo vyeo vya ubaba ni vya Kikristo, sisi havituhusu mtatusamehe sana kwa hilo. Inapaswa mheshimu mafundisho yetu ingawa mnajidai kuwa serikali haina dini. Sisi tuna dini, tukiwa au tusiwe serikalini.

Baba Mtakatifu, baba askofu, padri (baba), mpaka baba Mungu mnae nyinyi.

Kila mwanamme aingiae majumbani kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko"! Sasa tena mnataka kulazimisha " baba wa taifa"?

Eboo! Mnamababa wa ngapi nyie?

Sisi huko hamtupeleki. Baba kwetu ni mmoja tu, aliyekuzaa. Title hiyo hatuwezi kumwita mwengine yeyote. Kwa heshima wengine tunawaita "wazee wetu".
Ebu tutolee ulimbukeni wako hapa jukwaani
 
Matola

Hiyo post ya juu nimekufahamisha kuhusu "baba".

Kuhusu hilo la "ndugu" kwa Magufuli, nadhani wewe ndiyo huielewi nchi hii ilikotoka. Ungekuwa unaielewa ungeelewa kuwa wakati wa Nyerere ilikuwa si sahihi kuitana vingine zaidi ya ndugu.

Fahamu kuwa hilo lilikuja wakati Nyerere anaijaribu siasa yake ya ujamaa na kujitegemea na ukiisoma vizuri katiba ya CCM utakuta kuwa mrengo wetu bado ni wa ujamaa na kujitegemea. Kwa hiyo wana CCM kuitana ndugu haitupi shida kabisa na ni heshima ki chama.
Naona umeshapiga wanzuki kimya kimya huku ukijifanya muumini mzuri
 
Tatizo lako una mihemko na kiherehere, unakurupuka tu without know how, hichi ulichokiandika una uhakika mimi sijakiandika kabla yako kwenye uzi huu?

Hii ndio shida ya ujuwaji mwingi, mtu akianza kusoma post ya kwa mpaka hii atashindwa hata kukushanga!!
Huyo ni sawa na mc tu
 
Back
Top Bottom