Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 841
Not a big deal, wakati wa Nyerere ilikuwa ni ndugu, mtukufu lilipigwa marufuku, mheshimiwa nadhani, kwa wanasiasa lilikuja baada ya yeye kung'atuka, tena lilianzia kwa wabunge kupendezwa na kudai kuitwa waheshimiwa.
Mbona kuna mbuge juzi kati hapo bungeni, nimemsahau jina kamuita mh Rais bwana Magufuli. Je hii imemundolea au imempunguzia JPM urais wake.
Mbona kuna mbuge juzi kati hapo bungeni, nimemsahau jina kamuita mh Rais bwana Magufuli. Je hii imemundolea au imempunguzia JPM urais wake.