Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,801
Huyu jamaa amefikaje chuo kikuu kwa lugha chafuzi kama hiyo! Kama umetumwa wambie udom hakuna hawawezi... Kiukweli utanzania wako una mashaka
hapo ulikuwa unataka kumaanisha nini? au ulitaka kuwatumia msg wala ugoro wenzako kwa bahati mbaya ikaingia humu?