Hili la Kenya, UDOM mna la kujifunza

Hili la Kenya, UDOM mna la kujifunza

Kama inavyo fahamika Afrika mashariki UDOM ndio chuo kikubwa. Lakini nina mashaka na ulizi wa hiki chuo, kuna get kubwa moja tu ambalo unapo ingia hukaguliwi ila unapo toka ndio unakaguliwa, hii ina maana kwamba ulizi uliopo ni kwa ajili ya kuzuia uwizi tu na ndio maana wanakagua unapo toka tu na kuzuia uvamizi wa ugaidi haupo maana wanapo ingia hawakaguliwi afu kuna vichochoro vingi vya kuingia hapo chuoni bila ulizi. Wito wangu kwa Serikali liangalieni hili kwa umakini sana.

Asante kwa alert, itabidi usaidie upelelezi ... You seems to smell a rat...
 
Huyu jamaa amefikaje chuo kikuu kwa lugha chafuzi kama hiyo! Kama umetumwa wambie udom hakuna hawawezi... Kiukweli utanzania wako una mashaka
 
Huo ndio uchangiaji wangu kwa hili. Magaidi ni wajanja sana, huko Kenya walisemekana watavamia Nairobi University ama Kenyatta. Kwa bahati mbaya sana wanausalama wa Kenya wakawa wamejikita kwenye maeneo hayo wakasahau sehemu kama Garissa, matokeo yake wameenda Garissa na kusababisha mauaji ya kutisha. Ni vyema kama nchi tukawa macho kila eneo, tukawa makini sana. Huwa mimi nasikitishwa kusikia wahamiaji haramu 100 wamekamatiwa Dodoma ama hata Mbeya. Hii inaonyesha hatuko makini mipakani pia. Haiwezekani watu watembee maelfu ya kilomita bila vyombo vyetu kuwaona.
Tuna sikukuu hizi za pasaka, ni vyema vyombo vyetu vikawa makini pia. Kwa hiyo si UDOM peke yake. Suala la ulinzi ni mtambuka.

Well said!!
 
Mnang'ang'ana na vitu visivyo katika mada, umeshaelewa changia, sasa wewe unabadilisha mada. Ata ndani ya tz mmakonde hatamki kama mchaga au msukuma, shida iko wapi hapo!

Nina mashaka na wewe,neno "hata" wewe umeandika"Ata" bila shaka wewe pia ni mhamiaji haramu
 
Nina mashaka na wewe,neno "hata" wewe umeandika"Ata" bila shaka wewe pia ni mhamiaji haramu

Usihamishe mada, pole sana kama huoni uzito wa mada. Uende ukafundishe watoto kiswahili fasaha , hiyo kazi itakufaa.
 
Nchi nyingi za Afrika na nchi maskini kwa ujumla hawajawekeza vya kutosha kwenye Ulinzi.Nchi za msgharibi na mashariki ya mbali ndio wanaojua umuhimu wa ulinzi.Na wamewekeza kwenye ulinzi kwa kiwango kikubwa.
Kwa sasa hata intelijensia yetu haina vifaa na pesa za kutosha katika kukusanya taarifa za kijasusi.
Haya mambo yanahitaji fedha nyingi na weledi wa kutosha.

Mfano tu ni Nchi ya Nigeria yenye pato kubwa sana barani Afrika la zaidi ya dola bilioni 500 kwa mwaka sawa na zaidi ya Tril 800 za kitanzania kwa mwaka lakini wameshindwa kabisa kupambana na kakikundi kadogo ka boko haram kenye kipato kidogo cha kuungaunga.
Pato la Nigeria ni kubwa lakini umaskini ni mkubwa jambo linaloondoa uzalendo kwani mapato yaote yanakwenda kwenye mambo ya starehe za watawala wao.
 
Kwakweli hali inatisha,hili suala si la kufanyia masihara hata kidogo.Kenya na Tz ni pua na mdomo, ni kheri Ulinzi uimarishwe.Inatisha jaman!
 
Nawe ni mtanzania au ulikuja soma maana lugha yako ni ya kujifunzia ukubwani

Wewe tatizo lako nini? Mleta mada ameeleweka anakusudia nini wewe unaleta utoto!! Halafu siku hicho chuo kikivamiwa nyie ndio huwa wa kwanza kulaumu Serikali kuwa Chuo hakikuwa na ulinzi wa kutosha!!

Huna cha kuchangia piga kimya acha kujidharaulisha Mkuu!!
 
Mitoto ya UDOM mibishi inapingana na ukweli ambao unaweza kujitokeza halafu ilivyo milaini tena itakufa kama kuku wenye kideri
 
Rais ajaye aondoshe hijabu katika shule za umma

Hiyo ndio Solution ya ku prevent Ugaidi?

Acha kuwa na Akili za kukariri!!

Acha uvivu wa kutumia akili zako,Fikirisha bichwa hilo.
 
Wewe tatizo lako nini? Mleta mada ameeleweka anakusudia nini wewe unaleta utoto!! Halafu siku hicho chuo kikivamiwa nyie ndio huwa wa kwanza kulaumu Serikali kuwa Chuo hakikuwa na ulinzi wa kutosha!!

Huna cha kuchangia piga kimya acha kujidharaulisha Mkuu!!

Miaka mitatu UDOM unataka niamini kwa lugha hiyo, halafu unafikiri tumelala hatujui who's who. Tuko imara na hatuna uadui.
 
Kama inavyo fahamika Afrika mashariki UDOM ndio chuo kikubwa. Lakini nina mashaka na ulizi wa hiki chuo, kuna get kubwa moja tu ambalo unapo ingia hukaguliwi ila unapo toka ndio unakaguliwa, hii ina maana kwamba ulizi uliopo ni kwa ajili ya kuzuia uwizi tu na ndio maana wanakagua unapo toka tu na kuzuia uvamizi wa ugaidi haupo maana wanapo ingia hawakaguliwi afu kuna vichochoro vingi vya kuingia hapo chuoni bila ulinzi. Wito wangu kwa Serikali liangalieni hili kwa umakini sana.

Unaposema kuna geti moja tu na ukaguliwa wanaotoka tu halafu tena unatuambia kuna vichochoro vingi vya kuingia hapo chuoni je hivyo vichochoro haviruhusu mtu kutoka kupitia hivyo vichochoro?
 
Huyu jamaa amefikaje chuo kikuu kwa lugha chafuzi kama hiyo! Kama umetumwa wambie udom hakuna hawawezi... Kiukweli utanzania wako una mashaka

Wewe hujawahi kosea mkuu
 
Huo ndio uchangiaji wangu kwa hili. Magaidi ni wajanja sana, huko Kenya walisemekana watavamia Nairobi University ama Kenyatta. Kwa bahati mbaya sana wanausalama wa Kenya wakawa wamejikita kwenye maeneo hayo wakasahau sehemu kama Garissa, matokeo yake wameenda Garissa na kusababisha mauaji ya kutisha. Ni vyema kama nchi tukawa macho kila eneo, tukawa makini sana. Huwa mimi nasikitishwa kusikia wahamiaji haramu 100 wamekamatiwa Dodoma ama hata Mbeya. Hii inaonyesha hatuko makini mipakani pia. Haiwezekani watu watembee maelfu ya kilomita bila vyombo vyetu kuwaona.
Tuna sikukuu hizi za pasaka, ni vyema vyombo vyetu vikawa makini pia. Kwa hiyo si UDOM peke yake. Suala la ulinzi ni mtambuka.

hapo umenena mkuu. Wavivu wa kufikiri wanadhani magaidi hawana akili. wanatumia akili sana, huwezi wazuia kwa kujaza askari na kujenga mageti katika vyuo au masoko. Cha mhimu ni kupngeza upelelezi naujasusi
 
Kama inavyo fahamika Afrika mashariki UDOM ndio chuo kikubwa. Lakini nina mashaka na ulizi wa hiki chuo, kuna get kubwa moja tu ambalo unapo ingia hukaguliwi ila unapo toka ndio unakaguliwa, hii ina maana kwamba ulizi uliopo ni kwa ajili ya kuzuia uwizi tu na ndio maana wanakagua unapo toka tu na kuzuia uvamizi wa ugaidi haupo maana wanapo ingia hawakaguliwi afu kuna vichochoro vingi vya kuingia hapo chuoni bila ulizi. Wito wangu kwa Serikali liangalieni hili kwa umakini sana.

Hapa kuna tatizo sugu...
 
Back
Top Bottom