Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Wanaitwa ma ''Hench man''...wapo katika kila Taifa Duniani.Zito ni wakala wa nini
1. Una uhakika kuwa "zinavuja" ???????
2. Ukigundua kuwa baadhi ya taarifa zinaachiwa ili ku -control certain variables utasemaje!!!??????
ushujaa lema ni wa kushangaza sana ! amehujumiwa karibu na kila kiongozi wa nchi hii lakini ameshinda , hakika ukianza na Mungu utamaliza na Mungu .Mkuu Yericko ni kweli, na hii haijaanza leo, unakumbuka hukumu ya Lema, watu walianza kunywa na kushangilia Lema kufukuzwa ubunge jana yake kabla ya hukumu haijatoka, na wavujishaji walisema kabisa habari kutoka ikulu!
asante kwa jina jipya mkuu .Wanaitwa ma ''Hench man''...wapo katika kila Taifa Duniani.
Umesoma vizuri Mkuu!! Kasema KCMC naona ume skip kaka
He edited the post after we reminded him, check time ya post yangu na time ya edit yake... it is unfortunate kwamba siku-quote his entire post, ntakua nafanya hivyo