DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
Kwa jinsi ulivyoelezea Ikulu naona ni kama unajaribu kuonyesha watu kuwa unaifahamu vizuri...ila ni wazi kabisa kuwa hujui hata structure ya ikulu..you are lacking alot of information
Kwa jinsi ulivyoelezea Ikulu naona ni kama unajaribu kuonyesha watu kuwa unaifahamu vizuri...ila ni wazi kabisa kuwa hujui hata structure ya ikulu..you are lacking alot of information
Usipotoshe mada kijana, hoja iliyopo ni miiko ya urais,
Kwamba unaijua ikulu hilo halina msingi wala faida hapa
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Ha! Ha! Haaaa!!!!!Zito ni wakala wa nini
kanusha kama huyu ni muongo .Yericko stories zake hua za kuokoteza sana
Ulichoelezea ni kama mtu anajaribu kuelezea structure ya serikali afu akaaza na kuelezea kazi za waziri mkuu, afu akahamia kwa IGP afu akaenda kwa afisa mtendaji wa mtaa (hapo kamaliza structure)...hatari sana
Lakini taarifa za minungula mi mungu la ya escrow hazivuji
Alafu ww...ur analysis and logic is very disorganised...!!!
Hv kuna mtu RAIS yuko chini yake Ikulu..!!? So poor, go and edit, coz wenye uelewa watakupuza sana, hii ndio akili ya vijana wa CDM..!!? Is this..!? Very liquid..!!
In other words, hujui unaandika nn, RAIS yuko juu ya kila mtu, Ikulu na nchi nzima..!! Hata Judge akikuhukumu kunyongwa, Rais anaweza kukusamehe, na ukawa huru na hakuna swali...huku ukiwa na hatia na mahakama imetoa hukumu unyongwa, ila Rais mara moja anaweza kukusamehe...
Funny enough, hujui vizuri our State House official ranks order...!!! unachanganya sana, mara kiswahili upatie, cheo hicho hicho unakosea kwa kingereza...!!!
Huko CDM ndio mnakofundishwa kuwa Ikulu kuna mtu mkubwa hadi Rais yuko chini yake..!!? Ur sick..!!
Yaani Bavicha empty kabis vichwani ndio uandikaji gani huu? Unaandika huna hakika, unaandika kwa hisia zaidi.