masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Huyu jamaa mtoa mada anajulikana kama mtaalam wa majungu!
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Huyu jamaa mtoa mada anajulikana kama mtaalam wa majungu!
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Yaani Bavicha empty kabis vichwani ndio uandikaji gani huu? Unaandika huna hakika, unaandika kwa hisia zaidi.
Mzee umesoma alicho andika???
Yaani Bavicha empty kabis vichwani ndio uandikaji gani huu? Unaandika huna hakika, unaandika kwa hisia zaidi.
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Mtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Vetting siku hizi ni za kujuana, kindugu na za kidini sana so usitegemee kumpata mtu sahii sana.
Mkuu wa walinzi ni Mashiba siyo MashabaMtumishi aliyefukuzwa alikua KCMC na sio Bugando mkuu... check taarifa zako
Mkwa taarifa ni kwamba Gurumo is no longer a chief protocal officer in the state house. Alisharudishwa kwa mwajiri wake,ni sawa na mkurugenzi wa bandari aliporusishwa kwa mwajiri wake maana yake sio mkurugenzi tena.
Si CHADEMA inasema ina watoa siri ndani ya serikali, labda ipo pia kwenye Taasisi ya UraisKama haya ni majungu lete ukweli basi
Sasa huo uhoro wako umemuandikia nani.....We shukuru umepata elimu/uelewa kuhusu jambo ambalo ulikuwa hujui....KAZI YAKO NI KUTETEA UHUNI UNAOFANYWA NA TAASISI NYETI KM YA IKULU