Hili la Ikulu linanitisha, sitaki kuamini!

Hili la Ikulu linanitisha, sitaki kuamini!

Mkuu Yericko ni kweli, na hii haijaanza leo, unakumbuka hukumu ya Lema, watu walianza kunywa na kushangilia Lema kufukuzwa ubunge jana yake kabla ya hukumu haijatoka, na wavujishaji walisema kabisa habari kutoka ikulu!
 
huu ni mwaka ambayo watanzania wanatakiwa kuwa makini sana na kila kinachosemwa na kuandikwa lakini wasitegemee raisi bora na mwadilifu kutoka ndani ya ccm tena kwani hakuna aliye msafi kwa sasa.
VOTE FOR UKAWA.

nani nimsafi pale ukwa??
 
huu ni mwaka ambayo watanzania wanatakiwa kuwa makini sana na kila kinachosemwa na kuandikwa lakini wasitegemee raisi bora na mwadilifu kutoka ndani ya ccm tena kwani hakuna aliye msafi kwa sasa.
VOTE FOR UKAWA.

Pale mtaani kwetu manzese kwa mfugambwa, ukitaka jambo lako kila mtu alijue basi mfuate mama mkegani. Halafu mwambie hii ni siri/ubuyu tu nakimegea dadaangu! Nadhani sijui huwa hata kabla hujamaliza kumsimulia huwa tayari keshalitoa au vipi! Maana ukitoka kwake tu ukapita mtaa wa kwanza, wa pili, lazima utakutana na mtu atakwambia..."dada pole eenhe, ndio matatizo ya hawä tunaowaita wanaume zetu. Mbona wengi tulikuwa tunalijua hilo shoga, tulidhani ni wewe tu ndo umeamua kulikubali mwaya".

Sijui ni kwanini leo nimemkumbuka mama mkegani!
 
Umecopy vibaya,rekebisha hapo huyo mtumishi alikuwa mhasibu wa kcmc,ndio tatizo la kuongozwa na div 0

Lakini ujumbe bila shaka utakuwa umefika na ndio maana hapa katika mada hii baadhi wamemkosoa mleta mada kuhusu majina na Hospitali husika pamoja na kazia yake.

hivyo ina maana kuwa IKULU yetu imeoza na ukiona hivi yamaanisha kuna UDHAIFU na ULEGELEGE mkubwa ndani ya taasisi hii nyeti.

Waswahili wanasema "SAMAKI HUANZA KUOZA TOKA KICHWANI NA MWISHO ANAMALIZIA MKIANI"


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Lakini ujumbe bila shaka utakuwa umefika na ndio maana hapa katika mada hii baadhi wamemkosoa mleta mada kuhusu majina na Hospitali husika pamoja na kazia yake.

hivyo ina maana kuwa IKULU yetu imeoza na ukiona hivi yamaanisha kuna UDHAIFU na ULEGELEGE mkubwa ndani ya taasisi hii nyeti.

Waswahili wanasema "SAMAKI HUANZA KUOZA TOKA KICHWANI NA MWISHO ANAMALIZIA MKIANI"


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Wanajitahidi kupindisha ukweli
 
Wanajitahidi kupindisha ukweli

1. Mkuu kubali kukosolewa sababu ni sehemu ya maisha ya mtu yeyote mwerevu. . . . .hupungukiwi kitu chochote kurekebisha ulipokoselewa. . . .
2. Ukweli huwa haupindi kama tu unajisimamia. . . .
 
1. Mkuu kubali kukosolewa sababu ni sehemu ya maisha ya mtu yeyote mwerevu. . . . .hupungukiwi kitu chochote kurekebisha ulipokoselewa. . . .
2. Ukweli huwa haupindi kama tu unajisimamia. . . .

Nani anavujisha siri za ikulu?
 
ikulu ni mahali patakatifu sasa inashangaza ikulu kugeuzwa kuwa pango la wanyanganyi.
 
Back
Top Bottom