Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Nashukuru kuwa sina mapenzi na chama chochote maana ukiwa na mahaba unaweza ukajikuta unafikiri kutokea moyoni badala ya ubongo na matokeo yake kuishia kuwa na images nyiingi kichwani zisizo na uhalisia.
Tumia kichwa chako vizuri sio upenzi (mOYO) wa ccm mifano matumizi ya maneno "Nashukuru kuwa sina mapenzi na chama chochote maana ukiwa na mahaba unaweza ukajikuta unafikiri kutokea moyoni badala ya ubongo na matokeo yake kuishia kuwa na images nyiingi kichwani zisizo na uhalisia" MBONA NDIVYO UNAVYOFANYA? Halafu ni uchochezi washauri ccm siyo chadema