JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,956
- 9,436
Umeme umemtoa jasho nani!?Sukari tu imemtoa jasho huyu Msomali
Umeme umemtoa jasho nani!?Sukari tu imemtoa jasho huyu Msomali
Sawa,lkn Mbona umemuexaggrate sana Makonda as if ni mungu fulani hivi,Kwamba bila yeye mtu hatoboi?.Maisha ya mtu hupangwa na Mungu na lolote linapotokea twapaswa Kumshukuru Mungu,iwe ni jema au baya.Sema Bashe anajeuri ya kipumbavu hata kama anahoja alipaswa kunyamaza asionyeshe Kibri mbele ya jamii anajiharbia sana hamjui Makonda huyu, Makonda ni Shetani mbaya sana akimuamlia hatoboi hata huu mwaka hana kila kitu na tunamsahau.
Kwani Makonda ni Mwakilishi wa Wananchi hadi atusemee??.Makonda anawakilisha hisia za Watanzania wengi na anaembeza ajitafakari.
Kama kiongozi analipwa kodi za wanachi, anatumia AC na V8 zitokanazo na kodi ya wanachi, kwanini usihojiwe kwa mustakabali wa nchi?
Waziri Mkuu ndio anakulipa mshahara ?
Rais ndio anakulipa Mshahara?
Mshahara wake unatokana na kodi za wananchi, hivyo kupitia Katibu Mwenezi, wananchi wanahaki ya kuhoji kiongozi yoyote akiwemo Rais.
Wakati unaomba kura, unamuomba waziri mkuu au mwananchi?
Makonda huwa ana make sense sana , shida ni wengi wanamchukia kwa majungu ; haiwezekani kiongozi tunakulipa sisi wananchi halafu unaleta EGO ya kisomali eti nisihojiwe isipokuwa na watu 4 tu ; viongozi kama hawa hawatuvushi
Ikiwa Waziri mkuu aliweza kupokea Agizo la MAKONDA , wewe bashe ni nani ambaye uraia wako tu upo compromised !!
Wewe bwana.Sawa ila I am still doubting kusema Paul anashambulia mfumo
Paul anaonesha mawaziri mizogo kama bashe ambao majukumu yao na initiative zao huwa hazifiki mwisho and very soon wataenda kudanganya wananchi ili tu wapate kura
Paul yupo sahihi na ataweza, kwa Sababu anayo back up
Makonda ni tatizo kuliko hata huyo Bashe. Makonda ni shujaa wa watu wajinga na wasio na maono ya uongozi.Makonda anawakilisha hisia za Watanzania wengi na anaembeza ajitafakari.
Kama kiongozi analipwa kodi za wanachi, anatumia AC na V8 zitokanazo na kodi ya wanachi, kwanini usihojiwe kwa mustakabali wa nchi?
Waziri Mkuu ndio anakulipa mshahara ?
Rais ndio anakulipa Mshahara?
Mshahara wake unatokana na kodi za wananchi, hivyo kupitia Katibu Mwenezi, wananchi wanahaki ya kuhoji kiongozi yoyote akiwemo Rais.
Wakati unaomba kura, unamuomba waziri mkuu au mwananchi?
Makonda huwa ana make sense sana , shida ni wengi wanamchukia kwa majungu ; haiwezekani kiongozi tunakulipa sisi wananchi halafu unaleta EGO ya kisomali eti nisihojiwe isipokuwa na watu 4 tu ; viongozi kama hawa hawatuvushi
Ikiwa Waziri mkuu aliweza kupokea Agizo la MAKONDA , wewe bashe ni nani ambaye uraia wako tu upo compromised !!
Makonda anawakilisha hisia za Watanzania wengi na anaembeza ajitafakari.
Kama kiongozi analipwa kodi za wanachi, anatumia AC na V8 zitokanazo na kodi ya wanachi, kwanini usihojiwe kwa mustakabali wa nchi?
Waziri Mkuu ndio anakulipa mshahara ?
Rais ndio anakulipa Mshahara?
Mshahara wake unatokana na kodi za wananchi, hivyo kupitia Katibu Mwenezi, wananchi wanahaki ya kuhoji kiongozi yoyote akiwemo Rais.
Wakati unaomba kura, unamuomba waziri mkuu au mwananchi?
Makonda huwa ana make sense sana , shida ni wengi wanamchukia kwa majungu ; haiwezekani kiongozi tunakulipa sisi wananchi halafu unaleta EGO ya kisomali eti nisihojiwe isipokuwa na watu 4 tu ; viongozi kama hawa hawatuvushi
Ikiwa Waziri mkuu aliweza kupokea Agizo la MAKONDA , wewe bashe ni nani ambaye uraia wako tu upo compromised !!
Inabid. Ukubali makondo anasiasa chafu tangu enzi na anabahati ya kupewa nguvu na wakuu wa nchi sasa wewe jichanganye apite na wewe, hakuna faida ya kubisha ila kujihadhari tu.Sawa,lkn Mbona umemuexaggrate sana Makonda as if ni mungu fulani hivi,Kwamba bila yeye mtu hatoboi?.Maisha ya mtu hupangwa na Mungu na lolote linapotokea twapaswa Kumshukuru Mungu,iwe ni jema au baya.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Tambua mipaka ya kaziHuo uwaziri kaupata kupitia Chama gani?
Huyo Msomali hataki kuhijiwa na wanaokamuliwa kodi kumlipa mshahara?Makonda anawakilisha hisia za Watanzania wengi na anaembeza ajitafakari.
Kama kiongozi analipwa kodi za wanachi, anatumia AC na V8 zitokanazo na kodi ya wanachi, kwanini usihojiwe kwa mustakabali wa nchi?
Waziri Mkuu ndio anakulipa mshahara ?
Rais ndio anakulipa Mshahara?
Mshahara wake unatokana na kodi za wananchi, hivyo kupitia Katibu Mwenezi, wananchi wanahaki ya kuhoji kiongozi yoyote akiwemo Rais.
Wakati unaomba kura, unamuomba waziri mkuu au mwananchi?
Makonda huwa ana make sense sana , shida ni wengi wanamchukia kwa majungu ; haiwezekani kiongozi tunakulipa sisi wananchi halafu unaleta EGO ya kisomali eti nisihojiwe isipokuwa na watu 4 tu ; viongozi kama hawa hawatuvushi
Ikiwa Waziri mkuu aliweza kupokea Agizo la MAKONDA , wewe bashe ni nani ambaye uraia wako tu upo compromised !!
Ulichoandika hujielewi Kwa hiyo wale Wana CCM maelfu wanaojaa mikutano yake na nguo zao za kijani haruhusiwi kuwa msemaji wao kuhoji viongozi wa serikali?Makonda siyo mwakilishi wa wananchi bali ni msemaji wa chama
Hakika....Bashe ni ile team ya wahuni ndani ya CCM!
Na ieleweke hivyo....