Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
Heshima zenu wana MMU,
Mi kuna jambo huwa linanipa shida sana, Hivi inapotokea unampigia simu mpenzi/mchumba/mume/mke au mtu yeyote ambae unamuheshimu ghafla katikati ya mazungumzo yenu unashangaa anakuwa anaongea na watu wengine wakati bado upo online, alaf anarud kuendelea na mazungumzo yenu.
Hii inatokea wakati mpo kwenye mazungumzo Mara ghafla unasikia anatoa maelezo au anamwagiza kitu fulan mtu mwingine alaf baadae ndo anarudi kwako kuendelea na mazungumzo.
Unashangaa tena baada ya dakika chache anakuacha tena na kuendelea na mazungumzo mengine kisha anarud, we utasikia tu eeh tuendelee.
Hii hali inapotokea mara kwa mara kwenye mazungumzo yenu inamaanisha nini?
mimi huwa natafsiri kuwa huyo mtu ananidharau ama ninachoongea nae kwake ni pumba.
wana jamvi hii mnaichukuliaje?
Mi kuna jambo huwa linanipa shida sana, Hivi inapotokea unampigia simu mpenzi/mchumba/mume/mke au mtu yeyote ambae unamuheshimu ghafla katikati ya mazungumzo yenu unashangaa anakuwa anaongea na watu wengine wakati bado upo online, alaf anarud kuendelea na mazungumzo yenu.
Hii inatokea wakati mpo kwenye mazungumzo Mara ghafla unasikia anatoa maelezo au anamwagiza kitu fulan mtu mwingine alaf baadae ndo anarudi kwako kuendelea na mazungumzo.
Unashangaa tena baada ya dakika chache anakuacha tena na kuendelea na mazungumzo mengine kisha anarud, we utasikia tu eeh tuendelee.
Hii hali inapotokea mara kwa mara kwenye mazungumzo yenu inamaanisha nini?
mimi huwa natafsiri kuwa huyo mtu ananidharau ama ninachoongea nae kwake ni pumba.
wana jamvi hii mnaichukuliaje?