Hili jina limenishinda kutamka

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,037
Kuna watu wana majina magumu ila kuna sehemu pia kuna majina ni magumu aiseee, last weeek nilikua Tabora, kuna Wilaya moja kuna sehemu inaitwa "Shamba la Nyege", sasa mimi ndio nilikua Facilitator, wakati wanajitambulisha si ndio Mshiriki mmoja akasema anatoka Shamba la Nyege?? Duh nilichoka aiseeeee, mwezi uliopita nikafika Bukoba pia sehemu inaitwa Katerero, aaagh nikachoka, sidhani kama kuna sehemu nyingine zenye majina magumu zaidi ya haya.
 
Kuna watu wana majina magumu ila kuna sehemu pia kuna majina ni magumu aiseee, last weeek nilikua Tabora, kuna Wilaya moja kuna sehemu inaitwa "Shamba la Nyege", sasa mimi ndio nilikua Facilitator, wakati wanajitambulisha si ndio Mshiriki mmoja akasema anatoka Shamba la Nyege?? Duh nilichoka aiseeeee, mwezi uliopita nikafika Bukoba pia sehemu inaitwa Katerero, aaagh nikachoka, sidhani kama kuna sehemu nyingine zenye majina magumu zaidi ya haya.
Mchamba Wima Zanzibar
 
Back
Top Bottom